We had a mad man we ever seenJiwe come back
Hahaha why??We had a mad man we ever seen
Just like you and your Mom!We had a mad man we ever seen
Labda itakuwa ni siri ya ile dawa iliyotufikia kutokea Madagascar:
View attachment 2639676
Ila si Uganda:
Serikali ya Tanzania na magonjwa ya changamoto
Wala Kenya:
New wave of Covid-19 and influenza hit Kisumu schools
Huko kote kumethibitishwa uwepo wa wimbi jipya, ila siyo kwa wale vichwa ngumu, wana maombi kindaki ndaki.
Majirani washauriwe wanaweza kuwa wana cha kujifunza kutokea kwetu ambako vifo ni kwa mapenzi ya Mola:
Tanzania na vifo tata vya watu bila Postmortem Wala kumhusisha Coroner
Just like you and your Mom!
Covid out break is similar to the thunder and lightning phenomenon--- they strike at the same time but the first to be seen is the lightning and the thunder is heard later, When you hear a report of Covid in a neighbouring country it may, possibly, have stricken already in our midst like the lightning, we are unwary.
Itakuwa kila nikiona dege lililochorwa kikatuni, na linashusha watu, nakimbia. Hata kama Uviko haupo!
Ukiwa huna haki lazima korona ipo.
Kwan hata wakitangaza unafikir utafanya nini? Kama wimbi la kwanza ambako lilikuwa kali kuliko tuliweza kulihimili japo baadhi walipoteza maisha kwann uhofie sasa hivi?Wapumzike kwa amani wote wanaotolewa kafara Serikali ikiendelea kufanya uchunguzi usiokuwa na mwisho.
Hivi na Ile tuliyoambiwa Marburg siyo Ebola, uthibitisho wa kuwa ilikwisha au ipo uko wapi?
Karibu nyumbani kwa wagagikoko ambako milango ipo lakini hupitia madirishani.
πππLabda itakuwa ni siri ya ile dawa iliyotufikia kutokea Madagascar:
Ila si Uganda:
Ila Tanzania?Wala Kenya:
πππ
Ila Tanzania?
Kwa lugha nyingine, unafanya kejeli(mocking!) (tounting)
πππππ
For bringing a crazy man to us!What is Mom for ??