Mtanzanyika
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 368
- 425
Habari wakuu,
Miaka ya hivi karibuni kumeibuka wimbi la kampuni za kitanzania zinazoagiza magari kutoka Japan, UK, Singapore n.k. Tena wana utaratibu wao wa malipo kwa awamu mbili, unalipa unapoagiza gari na malipo ya pili unamalizia gari linapofika. Kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii hasa Instagram nadhani mtakuwa mnakutana sana na post za hayo makampuni, yapo mengi sana. Sasa ningependa tupeane elimu hapa kuhusu hayo makampuni:-
(1) Je hakuna harufu ya utapeli.?
(2) Kwa nini yote yana utaratibu unaofanana wa malipo kwa awamu mbili.?
(3) Je wao huko Japan hayo magari wanayanunua kutoka wapi.?
Karibuni kwa mawazo na ushauri na kama kuna nyongeza ya maswali mengine ya ufahamu kuelimishana zaidi.
Miaka ya hivi karibuni kumeibuka wimbi la kampuni za kitanzania zinazoagiza magari kutoka Japan, UK, Singapore n.k. Tena wana utaratibu wao wa malipo kwa awamu mbili, unalipa unapoagiza gari na malipo ya pili unamalizia gari linapofika. Kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii hasa Instagram nadhani mtakuwa mnakutana sana na post za hayo makampuni, yapo mengi sana. Sasa ningependa tupeane elimu hapa kuhusu hayo makampuni:-
(1) Je hakuna harufu ya utapeli.?
(2) Kwa nini yote yana utaratibu unaofanana wa malipo kwa awamu mbili.?
(3) Je wao huko Japan hayo magari wanayanunua kutoka wapi.?
Karibuni kwa mawazo na ushauri na kama kuna nyongeza ya maswali mengine ya ufahamu kuelimishana zaidi.