Wimbi la kuibuka watu JF wenye mitaji mikubwa kulikoni wenzetu?

Wimbi la kuibuka watu JF wenye mitaji mikubwa kulikoni wenzetu?

Mkogoti

TAPELI Mkubwa
Joined
May 3, 2020
Posts
2,415
Reaction score
3,924
Habari zenu wadau?

Nije kwenye mada? Humu jf Naona kuna watu wameibuka wana hela kubwa kubwa wanataka ushauri wa kufanya biashara!.

Mi naomba kujua mbona wanazidi tu kulikoni mara leo huyu ana million 150 mara 200 hujakaa sawa mwingine 750 asee!

Mi ninashangaa sana maana kila ukipita huko unakutana nao! Basi na sisi naomba mtuambie na sisi tupate hizo hela nzito nzito! Natumaini sijamkela mtu ni mawazo yangu tu


Nawasilisha 🙏
 
Humu kila mtu tajiri so be careful huyo mwenye million 700 ukute hata million moja hajawahi kushika, wenye hela ndefu wanajua au wanabiashara tayari, huwezi kuwa na hyo hela hujua chakufanya huo uwendawazimu na ndoto
 
Habari zenu wadau?

Nije kwenye mada? Humu jf Naona kuna watu wameibuka wana hela kubwa kubwa wanataka ushauri wa kufanya biashara!.

Mi naomba kujua mbona wanazidi tu kulikoni mara leo huyu ana million 150 mara 200 hujakaa sawa mwingine 750 asee!

Mi ninashangaa sana maana kila ukipita huko unakutana nao! Basi na sisi naomba mtuambie na sisi tupate hizo hela nzito nzito! Natumaini sijamkela mtu ni mawazo yangu tu


Nawasilisha 🙏
Angalia Joined Date ukiona ni recently ujue ni PARODIES!! Yaani mtu anafungua ID leo kisha leo leo anapost uzi ana milioni 100 hapo kuna NYUMBU anataka kuingizwa kwenye 18 na njia aliyoiona huyo Parody ni kumtega ana msingi wa mil 100 na kama anayetafutwa ana interest za mademu Basi Parody ataanzisha anatfauta MCHUMBA!!

Ukiona ID Mpya kuwa makini sana na ndio maana tukamuomba Max Melo arejeshe Joined Date kwenye comment.
 
Watu tumeshadata
Na hili ghetto life style

Shad bakren au nelly wa x-plasta
Hey dark master nitembezee chata
Kisha nipe kipaza nihubiri kama pastor
Ndani ya ghetto ni mengi yashatukuta
Lakini masela bado tunakomaa kutafuta
Bado tunazisaka hata kwenye vichaka
Atafutae hachoki akichoka ndio ameshapata
Japo sometimes kile kitu unachopata ni tofauti kabisa na kile unachotaka
Ila mwanaume lazima ujifunze kuridhika kwani ukichagua sana hukawii kutoka kapa
Duniani wote hatuwezi kuwa sawa na ndio maana wapinzani wa jadi mnapagawa Kama nipo juu ni juu
Ningoje chini, au nifate juu uvunjike guu
Masuper star tunang'aa kwa pamba tunazovaa
Zinaficha njaa, ila tunapokaa
Wengine nyumba ta udongo nyasi mlango wa gunia
Ndani hakuna mwiko kikombe wa sufuria
Zaidi ya kiberiti tu na kipande cha mkeka
Na nikishakula mambo yangu nauweka
Wala sioni hatari kula dona dagaa
Si kuna wengine hawajauona wamelala na njaa
Na usione tumepinda migongo, ukadhani ni vibyongo
Pengine ni ufupi tu wa mlango
We endelea kula bia acha mi nikapate gongo
Mradi wote tuwe stim ndio life ya kibongo
 
unamjua vizuri ontario wewe

huyo ndiye baba wa wajanja wote wanaotapeli kwa kutumia maneno so wewe jichanganye upigwe KO
 
Back
Top Bottom