Wimbi la Matajiri kuji Expose Kwenye Mitandao

Wimbi la Matajiri kuji Expose Kwenye Mitandao

Bird Watcher

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2013
Posts
3,151
Reaction score
6,261
Wakuu, Pengine mimi bado sijaelewa Essence ya hawa watu Kuji expose kwenye Community kiasi hiki, Kwasababu these people have been with Money for a while na Mostly walikuwa ni watu wa Low key ni watu wa Low profile zao sasa Vuup naona kwa sasa wameona waji Expose sana Pamoja na Kuwa wanafanya Engagement na Charity activities ambazo zita draw attention ya Community bado nawaza sana Kwanini watu hawa wana ji expose?

Je ni for security purposes kuwa famous ana well known ni Ngumu Kushambuliwa au Kudhuliwa na Upande wa pili?

Matajiri Ni wengi ambao wamekuja kwenye limelight kwa sasa Kina Mlokozi wa Manyara na Lugumi ni mfano wa wachache tu

Hawa wataalam wamenusa nini mpaka kujifanyia Expose kwenye Jamii?
 
Nilivyomuona lugumi leo akizindua nyumba alowajengea yatima niliwaza kama wewe why now?nikawaza enzi za mwamba chuma angefanya anayoyafanya sasa
 
Wakuu, Pengine mimi bado sijaelewa Essence ya hawa watu Kuji expose kwenye Community kiasi hiki, Kwasababu these people have been with Money for a while na Mostly walikuwa ni watu wa Low key ni watu wa Low profile zao sasa Vuup naona kwa sasa wameona waji Expose sana Pamoja na Kuwa wanafanya Engagement na Charity activities ambazo zita draw attention ya Community bado nawaza sana Kwanini watu hawa wana ji expose?
Je ni for security purposes kuwa famous ana well known ni Ngumu Kushambuliwa au Kudhuliwa na Upande wa pili?
Matajili Ni wengi ambao wamekuja kwenye limelight kwa sasa Kina Mlokozi wa Manyara na Lugumi ni mfano wa wachache tu
Hawa wataalam wamenusa nini mpaka kujifanyia Expose kwenye Jamii?
Tajiri unamjuaje huyu tajiri kweli na huyu si tajiri muuza sura tu?
 
Unamuongelea Lugumi?
Huyu mzee sijaelewa nia yake maana hivi laribuni ameongelew sana
Lugumi ni Mmoja wapo Mkuu, Ila unajua matajiri wengi sana wamekuwa waki Struggle sana Kupata attention za Media wakati those days walikuwa na Mlkwaja na wengi wali opt ku lay low
 
Waswahili mnashida sana. Wanafanya hivyo kuwahamasisha mtafute hela lakini pia mkumbuke na makundi maalum kwenye jamii mnazotoka bado hamtaki. Ok tuambie mleta mada unataka wafanye nn? Ni sheria gani ya nchi wamevunja kwa kufanya hivyo?.
 
Wakuu, Pengine mimi bado sijaelewa Essence ya hawa watu Kuji expose kwenye Community kiasi hiki, Kwasababu these people have been with Money for a while na Mostly walikuwa ni watu wa Low key ni watu wa Low profile zao sasa Vuup naona kwa sasa wameona waji Expose sana Pamoja na Kuwa wanafanya Engagement na Charity activities ambazo zita draw attention ya Community bado nawaza sana Kwanini watu hawa wana ji expose?

Je ni for security purposes kuwa famous ana well known ni Ngumu Kushambuliwa au Kudhuliwa na Upande wa pili?

Matajiri Ni wengi ambao wamekuja kwenye limelight kwa sasa Kina Mlokozi wa Manyara na Lugumi ni mfano wa wachache tu

Hawa wataalam wamenusa nini mpaka kujifanyia Expose kwenye Jamii?
FB_IMG_1734880419893.jpg
 
Lugumi ni Mmoja wapo Mkuu, Ila unajua matajiri wengi sana wamekuwa waki Struggle sana Kupata attention za Media wakati those days walikuwa na Mlkwaja na wengi wali opt ku lay low
Enzi za ufisadi zimerejea
 
Zisije zikawa pesa za masharti hizi ila alie leta pesa sijui ni nani
IMG-20241015-WA0066.jpg
 
Swali Zuri Mkuu, Mtu kama Lugumi ni Mtu anajulikana Kitambo tu
Wezi nao mnawahesabu matajiri?

Kuna watu wezi, wauza madawa ya kulevya, mafisadi wana hela nyingi lakini Forbes wamekataa kuwahesabu kama matajiri.
 
Wanatafuta kuonewa huruma endapo mambo yao yataenda kombo,
 
Wakuu, Pengine mimi bado sijaelewa Essence ya hawa watu Kuji expose kwenye Community kiasi hiki, Kwasababu these people have been with Money for a while na Mostly walikuwa ni watu wa Low key ni watu wa Low profile zao sasa Vuup naona kwa sasa wameona waji Expose sana Pamoja na Kuwa wanafanya Engagement na Charity activities ambazo zita draw attention ya Community bado nawaza sana Kwanini watu hawa wana ji expose?

Je ni for security purposes kuwa famous ana well known ni Ngumu Kushambuliwa au Kudhuliwa na Upande wa pili?

Matajiri Ni wengi ambao wamekuja kwenye limelight kwa sasa Kina Mlokozi wa Manyara na Lugumi ni mfano wa wachache tu

Hawa wataalam wamenusa nini mpaka kujifanyia Expose kwenye Jamii?
Marafiki wa Dully
 
Back
Top Bottom