King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Haaahaa...inaonekana wema anapita na kusoma udaku wa humu maana kila topic inayomuhusu comments zikiwa against nae anaenda tolea mapovu kwenye page yake instagram. Pole attention seeker
Haaahaa...
Page yake ni jina gani hukoo!??
Umeanza kufeli kijana..Ulimbukeni wa kiwango cha makinikia
shem mi mwenzio mshamba pande hizoEti shem, Macho ya nyau yanavaliwaje ??
Hahaha kawaida kufeli mkuuUmeanza kufeli kijana..
Hao wote ni wajinga miongoni mwa wanawake wachache wajinga.Binadamu unatamani No macho ya paka??
Hata ukiwaona hakuna wanalopendeza.Wote watatu hapo huwa ni km machizi