Wimbo mmoja tu wa "Kajenga Madarasa", hakuna kingine kikubwa zaidi?

Wimbo mmoja tu wa "Kajenga Madarasa", hakuna kingine kikubwa zaidi?

Prof Koboko

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
350
Reaction score
2,550
Yaani chama chetu cha Mapinduzi CCM sijui kina matatizo gani, hakuna kiongozi anayeweza kusimama akataka jina la Mama akaacha kutaja Madarasa. Hivi kuna kubwa zaidi ya hili? Hakuna mradi wowote alioanzisha Mama umegharimu zaidi ya Trilioni 1.3?

Tunasahau kuwa kuna watu walijenga shule za kata nchi nzima kwa muda mfupi? Mbona hapakuwa na fujo hizi za kusifia mpaka kupitiliza? Kwanini tunasahau kuwa vituo vya afya bado ni tatizo kubwa na maji safi na salama bado tatizo ni kubwa, tumesahau kuwa tatizo la ajira nchini ni kubwa kiasi gani?

Hawa hawa wanaotembea na mabango barabarani wakisifia madarasa, madarasa, ndio hawa hawa awamu iliyopita ilikuwa flyover, flyover, ndege, ndege. Leo hii huwezi kukuta mtu anazungumzia flyover wala ndege, miradi ambayo kimsingi ni mikubwa kuliko haya madarasa.

Mama atiwe moyo kwa mambo mengi anayofanya na siyo kusifia tu kwa jambo moja, tusijisahau shida za watanzania ni nyingi kuliko haya madarasa.
 
Timeframe ndiyo issue. Mama kaingia March 2021 na miezi 9 tuna madarasa hayo wanayoyaongelea. It's an achievement huusani kwa Taifa ambalo kiwango cha elimu kiko duni.

Bora anawekeza kwenye elimu kuliko anayewekeza kwenye madaraja ya juu.

Unasifia flyover wakati zinawawezesha walevi wa Tabata waweze kurudi kirahisi makwao kupitia Ubungo? Zinamsaidia nini mkazi wa Nangurukuru Kilwa?

Lakini madarasa ya Rais SSH yamegusa kila kata mpaka Kazuramimba Kigoma

Tujifunze kutafakari kabla ya kuandika
 
Mbona kuna tozo huzioni?

Halafu umeme sahivi unawaka full time huoni au unatumia kibatali?

Bidhaa zimeshuka bei huoni au we unakula vitu vya shambani?
 
Unajenga madarasa yasiyo na walimu na miundombinu ya kutosha, na tena kwa hela ya mkopo wenye riba, ili wasome watoto wa maskini! Halafu watoto wako unawakimbizia FEZA!

Wanasiasa siyo msaada hata kidogo.
 
Viko vingi sana the list is endless across multiple sectors,huu ni wimbo wa karibuni ndio maana unavuma. 👇

IMG-20220101-WA0020.jpg


Screenshot_20220128-230952.png


Screenshot_20220202-094204.png


Screenshot_20220131-220651.png


Screenshot_20220131-150236.png


Screenshot_20220131-111524.png


Screenshot_20220131-085900.png


Screenshot_20220131-090039.png


Screenshot_20220131-085833.png


Screenshot_20220130-193704.png


Screenshot_20220130-180754.png


Screenshot_20220130-101710.png


Screenshot_20220129-231540.png


Screenshot_20220129-231604.png


Screenshot_20220129-231423.png


Screenshot_20220129-231247.png
 
Yaani chama chetu cha Mapinduzi CCM sijui kina matatizo gani, hakuna kiongozi anayeweza kusimama akataka jina la Mama akaacha kutaja Madarasa. Hivi kuna kubwa zaidi ya hili? Hakuna mradi wowote alioanzisha Mama umegharimu zaidi ya Trilioni 1.3?

Tunasahau kuwa kuna watu walijenga shule za kata nchi nzima kwa muda mfupi? Mbona hapakuwa na fujo hizi za kusifia mpaka kupitiliza? Kwanini tunasahau kuwa vituo vya afya bado ni tatizo kubwa na maji safi na salama bado tatizo ni kubwa, tumesahau kuwa tatizo la ajira nchini ni kubwa kiasi gani?

Hawa hawa wanaotembea na mabango barabarani wakisifia madarasa, madarasa, ndio hawa hawa awamu iliyopita ilikuwa flyover, flyover, ndege, ndege. Leo hii huwezi kukuta mtu anazungumzia flyover wala ndege, miradi ambayo kimsingi ni mikubwa kuliko haya madarasa.

Mama atiwe moyo kwa mambo mengi anayofanya na siyo kusifia tu kwa jambo moja, tusijisahau shida za watanzania ni nyingi kuliko haya madarasa.
Sasa unashangaa nini ndo uwezo wao wa kufikiri unapoishia! Ukiwa masikini wa fikra na roho haina tofauti na mnyama kama fisi! Ukiwaangalia siku ile wanasifia eti madarasa yamekuwa ya mfano kwenye vijiji yana vigae? Hiyo mwenyekiti wa CCM mkoa fulani anaongea huo ujinga mbele ya mabalozi! Very stud! Mnawapa uongozi majitu wenye hela za kichawi na yasiyo na wawazo ya kuendana na wakati!
 
Yaani chama chetu cha Mapinduzi CCM sijui kina matatizo gani, hakuna kiongozi anayeweza kusimama akataka jina la Mama akaacha kutaja Madarasa. Hivi kuna kubwa zaidi ya hili? Hakuna mradi wowote alioanzisha Mama umegharimu zaidi ya Trilioni 1.3?

Tunasahau kuwa kuna watu walijenga shule za kata nchi nzima kwa muda mfupi? Mbona hapakuwa na fujo hizi za kusifia mpaka kupitiliza? Kwanini tunasahau kuwa vituo vya afya bado ni tatizo kubwa na maji safi na salama bado tatizo ni kubwa, tumesahau kuwa tatizo la ajira nchini ni kubwa kiasi gani?

Hawa hawa wanaotembea na mabango barabarani wakisifia madarasa, madarasa, ndio hawa hawa awamu iliyopita ilikuwa flyover, flyover, ndege, ndege. Leo hii huwezi kukuta mtu anazungumzia flyover wala ndege, miradi ambayo kimsingi ni mikubwa kuliko haya madarasa.

Mama atiwe moyo kwa mambo mengi anayofanya na siyo kusifia tu kwa jambo moja, tusijisahau shida za watanzania ni nyingi kuliko haya madarasa.
Changamkia fursa kijana, tafuta hela.
 
Yaani chama chetu cha Mapinduzi CCM sijui kina matatizo gani, hakuna kiongozi anayeweza kusimama akataka jina la Mama akaacha kutaja Madarasa. Hivi kuna kubwa zaidi ya hili? Hakuna mradi wowote alioanzisha Mama umegharimu zaidi ya Trilioni 1.3?

Tunasahau kuwa kuna watu walijenga shule za kata nchi nzima kwa muda mfupi? Mbona hapakuwa na fujo hizi za kusifia mpaka kupitiliza? Kwanini tunasahau kuwa vituo vya afya bado ni tatizo kubwa na maji safi na salama bado tatizo ni kubwa, tumesahau kuwa tatizo la ajira nchini ni kubwa kiasi gani?

Hawa hawa wanaotembea na mabango barabarani wakisifia madarasa, madarasa, ndio hawa hawa awamu iliyopita ilikuwa flyover, flyover, ndege, ndege. Leo hii huwezi kukuta mtu anazungumzia flyover wala ndege, miradi ambayo kimsingi ni mikubwa kuliko haya madarasa.

Mama atiwe moyo kwa mambo mengi anayofanya na siyo kusifia tu kwa jambo moja, tusijisahau shida za watanzania ni nyingi kuliko haya madarasa.
Tena pesa ya mkopo
 
Si wameshawaona watanzania wote ni kama Chief Mangungo wa Msovero
 
Picha zinajieleza zaidi kuliko maneno. Asante sanaaaa kwa hizi picha, zimenifungua sana na kujua kinachoendelea na kinachopandisha ukusanyaji wa kodi.

Wekeza pesa upate pesa, mama anaupiga- kazi iendelee.
 
Back
Top Bottom