Wimbo mpya kuhusu kutekwa kwa Roma

Msanii mchanga atoa wimbo wenye maudhui kama nyimbo nyingi za roma...

Maoni yangu wasanii waungane watoe nyimbo kwa pamoja bila kuigopa sekretari
Bahati mbaya wasanii hawatulii kuimba mambo ya maana bali ni kukurupuka wimbo wiki moja hauna mvuto tena. Wizara ya Wasanii hebu iwakusanye na kuwaita magwiji wa muziki wawaeleze nyimbo miaka 50m bado zinapendwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…