Wimbo Mpya wa DiamondPlatnuzm-Kitorondo

Me ni fan wake ila sijapenda huu wimbo. Wimbo mbayaaaa vigodoro amuachie shilole.
 
Tuddy Thomas ameuwa vibaya sana hongeraaa
 
Hili jamaa lenye domokubwa ka katun ya chai jaba kweli jizi, tena jizi la mchana kweupe kabisa, yaani bila ya aibu linaiba wimbo wa mtu mwingine na kuutangaza wa kwake? au linajivunia huo umaarufu wake uchwara? Kitorondo ni wimbo alioimba Dogo Aslay.
 
Hili jamaa lenye domokubwa ka katun ya chai jaba kweli jizi, tena jizi la mchana kweupe kabisa, yaani bila ya aibu linaiba wimbo wa mtu mwingine na kuutangaza wa kwake? au linajivunia huo umaarufu wake uchwara? Kitorondo ni wimbo alioimba Dogo Aslay.

Naomba link mkuu
 
Hili jamaa lenye domokubwa ka katun ya chai jaba kweli jizi, tena jizi la mchana kweupe kabisa, yaani bila ya aibu linaiba wimbo wa mtu mwingine na kuutangaza wa kwake? au linajivunia huo umaarufu wake uchwara? Kitorondo ni wimbo alioimba Dogo Aslay.
Mbona umepaniki kiasi hiki? Mbona matusi?
Mmmh weka ushahidi hapa wa wimbo wa Aslay!

Sasa huu wimbo utakuwa nA watu wangapi? Nasikia na Wababa nae kasema wa kwake.
Sir Good weka ushahidi.
 
Last edited by a moderator:
Mbona umepaniki kiasi hiki? Mbona matusi?
Mmmh weka ushahidi hapa wa wimbo wa Aslay!

Sasa huu wimbo utakuwa nA watu wangapi? Nasikia na Wababa nae kasema wa kwake.
Sir Good weka ushahidi.

http://m.youtube.com/watch?
v=qJtiA6IGnxc
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…