Japo ameimba ki-"comedy".Ujumbe ameufikisha vizuri. Ila ameharibu biashara ya mjasiriamali"Msukuma" na kazi ya mwandishi;kwa kumtaja jina- Sharuwa?
Huyo Sharuwa nimemsikia katajwa tuu ila hata simfahamu...
Nafikiri ni Joseph Shaluwa wa magazeti ya Shigongo kama sijakosea
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Matola ni mwimbaji pia & kama sikosei hata tuzo nayo alishachukua (KTMA) alimpiku Mrisho Mpotompoki tangu lini kawa mwanamuziki?
Huyo Sharuwa nimemsikia katajwa tuu ila hata simfahamu...
Nafikiri ni Joseph Shaluwa wa magazeti ya Shigongo kama sijakosea
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kama ni wa kiume kwa alivyotajwa huu utakuwa utani wa ngumi
Sent from my iPhone using JamiiForums