Wimbo mwanaume mashine unatuzalilisha vibamia

Wimbo mwanaume mashine unatuzalilisha vibamia

mshamu

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2011
Posts
418
Reaction score
134
Kwa masikitiko makubwa naomba wizara husika iliangalie hili kwa kuwa unatubagua. Hivi nini maana ya mashine? Inamaana ukiwa na kibamia siyo mwanaume. Juzi siku ya idd mosi nilitoka na demu wangu vizuri na anajua mi ninakibamia sasa wimbo huo ulipopigwa akainuka kucheza huku ananiimbia eti mwanaume mashine.
Niliamua kuondoka bila hata kumuaga aliniudhi sana.

Sasa wale wenye vibamie tuungane kupinga wimbo huu unatudhalilisha sana.
 
Mtazidi ku komeshwa, na hivo vi dyudyu vyenu..

Me hii hainihusu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nicheke ninenepe nikonde nina.....?[emoji108]
 
1b9c86e2c71446921125f708af58e163.jpg


Kweli dunia ni msongamano....
 
Kwa masikitiko makubwa naomba wizara husika iliangalie hili kwa kuwa unatubagua. Hivi nini maana ya mashine? Inamaana ukiwa na kibamia siyo mwanaume. Juzi siku ya idd mosi nilitoka na demu wangu vizuri na anajua mi ninakibamia sasa wimbo huo ulipopigwa akainuka kucheza huku ananiimbia eti mwanaume mashine.
Niliamua kuondoka bila hata kumuaga aliniudhi sana.

Sasa wale wenye vibamie tuungane kupinga wimbo huu unatudhalilisha sana.
Mnajidhalilisha wenyewe.
mbona naniliu ni govi lakini hatangazi?
 
Back
Top Bottom