Wimbo Salome waongoza kwa kununuliwa huko Kenya

Hahaha hakuna jina washabiki wa Ali Kiba wanachukia kama hilo la "kibakuli"

Yaani ni bora umwite pepo kuliko Kibakuli.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nilifikiri utatoa nukuu la Mkenya, kumbe ni aliyeimba. Mwenyewe sijauona wala kuusikiliza ila kama ni ile beat ya Saida ninapenda sana nipe link achana na mambo ya YouTube.
 
Habari inafurahisha..

Mie nipo na camera nasubiria kuwafotoa na mama yake SA watakapoenda kufungua jumba jipya la Simba na Zari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…