[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23], aya bhana
team kibakuli hao napendaga wanavyotoa mapovu ukimponda bosi wao[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mjomba imekuwaje tena mmefika huku!!?
Aaaahteam kibakuli hao napendaga wanavyotoa mapovu ukimponda bosi wao
Mnunulieni na Salome wake kabisa halafu mpelekeeni.Kuna mwandish alisema hajui pesa ya diamond inatoka wapi embu mpelekeen na hyo asome
Hahaha hakuna jina washabiki wa Ali Kiba wanachukia kama hilo la "kibakuli"team kibakuli hao napendaga wanavyotoa mapovu ukimponda bosi wao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha hakuna jina washabiki wa Ali Kiba wanachukia kama hilo la "kibakuli"
Yaani ni bora umwite pepo kuliko Kibakuli.