wimbo ulioagiwa wakati unamaliza la 7

Me too

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,388
Reaction score
9,333
ni wimbo upi hutousahau wakati unaagwa kwenye mahafali ya darasa la saba?

binafsi kuna wimbo huu huwa naumiss hadi nalia nkiukumbukaga.


tthe greaters dear the time is over!! let shake our hands and say goodbye to you!!!!!!
we were studying together, livingtogether, playing together but time does not arround to stay together×2.

 
Sijui nina shida gani. Sijawahi shiriki graduation hata moja toka nianze kusoma na zimenipita sio chini ya 5
inaonekana ulikuwajinias huna mda na sherehe.
 
inaonekana ulikuwajinias huna mda na sherehe.
Ila kweli nimechungulia tuvyeti nikakumbuka.

Halafu siunajua ile Kujifanya mgumu. Graduu za nini bwana uboizini. Nikikumbuka nacheka saana
 
Mimi nilimaliza shule za Kayumba na kwa miaka ile hayo mambo ya sherehe hakuna. Tukajikuta tumeondoka kwa mafungu tukakutana Coco Beach.

Ninachokumbuka tu siku hiyo niliachwa na mpenzi wangu.
 
Dah....hainaga ushemeji man fongo[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Sijui nina shida gani. Sijawahi shiriki graduation hata moja toka nianze kusoma na zimenipita sio chini ya 5
Ya 6 komaa mwana...piga suti yako kali...ndiyo ya mwisho hiyo... Labda utake sifa za kijinga[emoji13] [emoji13]
 
Haha...watu kama nyie ni muhimu kwa kushangilia..vigelele..vivijo na nderemo bila kusahau mikatiko na midundiko
Ubaya sasa sinaga hizo swager mie ni mtu wa kukaa tu nakushangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…