wimbo ulioagiwa wakati unamaliza la 7

Mimi nakumbuka graduation form 4 ilikuwa ni careless whispers sisahau enzi hizo ndio goma bichi kabisa na nikakumbatiwa kwenye blues hiyo taa zikizimwa kukiwa na kamwanga cha wastani
Sisahau ilikuwa mara ya kwanza kukumbatiwa na mimi kuweka mkono kiunoni sitosahau kamwe
Kwani sijacheza tena blues hadi leo
Ilikuwa 1984 ukipata barua ina kopa la love hulali wiki je wakati huo kukumbatiwa sitasahau mkuu
 
ahahah nimecheka.

kwakweli ni hutosahau hiyo. labda atokee mwingine akuhug vema.
 
Ila kweli nimechungulia tuvyeti nikakumbuka.

Halafu siunajua ile Kujifanya mgumu. Graduu za nini bwana uboizini. Nikikumbuka nacheka saana
we ni shida na wanao si utawabania jamani.
 
Mimi nilimaliza shule za Kayumba na kwa miaka ile hayo mambo ya sherehe hakuna. Tukajikuta tumeondoka kwa mafungu tukakutana Coco Beach.

Ninachokumbuka tu siku hiyo niliachwa na mpenzi wangu.
pole
 
La saba tuliimba:

"Wavulana wanapenda kumaa-kumaliza shule;
Wasichana wanapenda mboooo-mboga za majani!!!"



Good old days...tukala pilau letu kila mtu akasepa zake.

***ila enzi zangu hakukuwa na graduation ya shule za msingi...damn nimezeeka aisee.
 
Wifiiiiii twende nyumbaniiiiiiii X2
WiFi yetu wa gharama wa gharama
Hapa ndipo nyumbani kwetu karibu mama
sory bujibuji kumbe ni wa kike?

siku waliyokuimbia mawifi zako siulilia san.

maana huo nao unaumaga.
 
duh! sipati picha hapo kwenye kidakio aseeee.

na waalimu wakapotezea tu?
 
sory bujibuji kumbe ni wa kike?

siku waliyokuimbia mawifi zako siulilia san.

maana huo nao unaumaga.

Huyu ndo @gilesi a.k.a Bujibuji...huku JF huku huchelewi kutongoza anko zako Cc: RRONDO!

duh! sipati picha hapo kwenye kidakio aseeee.

na waalimu wakapotezea tu?

Mbona wimbo mzuri tu pacha wa mbali!!! Kwani wewe hupendi mboga za majani!??
 
Pole kwa kutengena na sisi huzuni zatujia machozi yatundoka kama matone ya mvua... Ngonjera hiyo...
 
Huyu ndo @gilesi a.k.a Bujibuji...huku JF huku huchelewi kutongoza anko zako Cc: RRONDO!



Mbona wimbo mzuri tu pacha wa mbali!!! Kwani wewe hupendi mboga za majani!??
asante kwa kunijuza bujibuji.

wimbo upo pouwa hapo kwa kidakizio nahisi wenye viherehere hawakosagi.
 
Pole kwa kutengena na sisi huzuni zatujia machozi yatundoka kama matone ya mvua... Ngonjera hiyo...
aiseeeeee mkuu huu wimbo si uliimbwa kwa jayati baba wa Taifa?


sitousahau.


au mliamua kurekebisha vipengele?
 
aiseeeeee mkuu huu wimbo si uliimbwa kwa jayati baba wa Taifa?


sitousahau.


au mliamua kurekebisha vipengele?
Wimbo ni wa kitambo sana... kwa Hayati Mwalimu uliimbwa tu na wala haukutungwa.... kipindi kile vikundi au watu wachache sana ndio waliweza kutunga nyimbo mpya ila wengi walichukua za kale tu na wengine wakaziongezea vikorombezo vichache tu... Asikuambie mtu Wanamusic wengi huwa wanapenda kukopy kazi zilizotayari wao huzivuruga vuruga tu kiaina yao na kuweza kufanikiwa kutoa kitu kikali... au kuharibu ni aina ya ubunifu tu... Asikuambie mtu kutunga nyimbo na kuweza kuiimba huwa ni kazi ngumu sana kwa wakati mmoja na kazi hiyo ikubalike haswa...
 
aaante ni kweli kabisa hucopy sana
 
ni wimbo upi hutousahau wakati unaagwa kwenye mahafali ya darasa la saba?

binafsi kuna wimbo huu huwa naumiss hadi nalia nkiukumbukaga.


tthe livingtogether, playing together but time does not arround to stay together×2.

Aisee mimi nilikimbia kwenye mahafari kisa waliniweka na binti fulani tufungue mziki sasa mimi na kucheza mziki wapi na wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…