Wimbo wa Afande Sele unaoitwa Marekani wafungiwa na Serikali

Wimbo wa Afande Sele unaoitwa Marekani wafungiwa na Serikali

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Anaandika Afande Sele

Nimeongea tena na Tcra muda huu wanadai kabla ya kuendelea na chochote kwanza nifute huo wimbo popote ulipo.

Ingawa sijajua kosa langu na sijaridhika na makatazo yao.

Wanadai wamepigiwa simu kutoka juu kwamba wimbo haufai kwa maslahi ya nchi. Kuna Wakati Chief Hangaya alishasema Mawaziri Wajiamini.

Waache Tabia ya Kusema MAAGIZO Kutoka Juu. Haohao Wamarekani Wanathamini MUZIKI Kama Uhuru na Haki. Tunataka Kuficha Nini? Kwa Nini Tcra Wasimpe Maandishi ya Katazo Lao, Afande Sele.

Kimsingi Hakuna lugha ya uchochezi, matusi. Wanakwepa nini kumpa katazo la maandishi kwa sheria au kanuni ipi ya NCHI umeivunja kwa wimbo huu?

Katazo la Serikali haliwezi Kuwa Verbal Ila Lazima Liwe written.
 
Afande sele awamu hii sii ya kulamba karata dule,hiyo ndiyo asali lamba.Vp nyie ndugu zangu hamlambi asali?.
 
Anaandika Afande Sele

Nimeongea tena na Tcra muda huu wanadai kabla ya kuendelea na chochote kwanza nifute huo wimbo popote ulipo.

Ingawa sijajua kosa langu na sijaridhika na makatazo yao.

Wanadai wamepigiwa simu kutoka juu kwamba wimbo haufai kwa maslahi ya nchi. Kuna Wakati Chief Hangaya alishasema Mawaziri Wajiamini.

Waache Tabia ya Kusema MAAGIZO Kutoka Juu. Haohao Wamarekani Wanathamini MUZIKI Kama Uhuru na Haki. Tunataka Kuficha Nini? Kwa Nini Tcra Wasimpe Maandishi ya Katazo Lao, Afande Sele.

Kimsingi Hakuna lugha ya uchochezi, matusi. Wanakwepa nini kumpa katazo la maandishi kwa sheria au kanuni ipi ya NCHI umeivunja kwa wimbo huu?

Katazo la Serikali haliwezi Kuwa Verbal Ila Lazima Liwe written.
Wangemfungia kuvuta bangi nadhani ndio muhimu zaidi.
 
Mbona hakuna lugha chafu hata kidogo, ni lyrics za kistaarabu sana au wanaogopa kubwa la mabeberu(USA) litachukulia huo ndiyo msimamo wa bibi Hangaya.
IMG_20220404_035123.jpg
 
Back
Top Bottom