Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
-
- #41
Gumzo..... [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Awataki kukubali kuwa mfalme jua ameishia na anatafuta back up ya Diamond The G. O. A.T...?
Kwa mwendo huu lazima arudi Mombasa maana kaishiwa live live [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndo ubunifu huo kama unavoona wengine wanavoimba matusi
Fact hakuna msanii pale tangu mwanzo nilisema mkanipuuza Sasa mmejionea huu utopolo wa Karne[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nenda mimi nimeishia sekunde 30 tu nikatoka YouTube yaaani ni uhalo wa kiwango Cha PhD na HD.
Nenda mimi nimeishia sekunde ya 30 nikatoka maana ni utopolo wa kiwango Cha PHD, SGR na HD.Ngoja nikausikilize. Nimuongezee traffic King Kiba.
Fact hakuna msanii pale tangu mwanzo nilisema mkanipuuza Sasa mmejionea huu utopolo wa Karne[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zuchu akiwa hayupo au...? Kweli wazee ni wengi ule utopolo unasema ngoma Kali[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Simo jamani arudi MombasaJapo kaimba vijembe...ila ngoma kali kabadilika sana humu Ali ila sijaelewa nini kilimsukuma kuimba yale au majamaa wamemchokoza tena?
#Ntabiri ngoma itashika namba moko on trending kwa sababu kali
Daaaaaah huyo sio mimi kaka angu sawa.Innocent Independent tulia basi.
Diamond si ndo alianza kusema alikiba akacheze na Dada zake kariakooo?Ni paniki kwa utopolo huu, MTU unajisifia kwenda marekani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daaaaaah huyo sio mimi kaka angu sawa.
Yeah Diamond The G O. A. T akae kimya maana anatafuta pa kupumulia/kutokea now maana nasikia Hana dili Tena siunaona hata label uchwara imekufa.
Daaaaaah afu AY asemeje...? Tukubali mzee wetu kaishiwa unachezea wewe miaka 45+ hauna hata pakulala si utopolo huo, Tena wa kiwango Cha PHD, SGR na HD...? [emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Diamond si ndo alianza kusema alikiba akacheze na Dada zake kariakooo?
Jamaa nae kajibu kuwa alianza kwenda uko ulaya kitambo hakuna cha ajabu.
Acha chuki
Mimi nimeupenda sana. Nauangalia tena .Nenda mimi nimeishia sekunde ya 30 nikatoka maana ni utopolo wa kiwango Cha PHD, SGR na HD.
Hapana sio yangu kaka, sunajua kwa simu miandiko yote ni sawa au..?Mkuu usikatae ID yako hata muandiko ni ule ule.
Mbona kawaida sana maana hata zabibu kiba Diamond The G. O. A. T alijipigia Hadi Kule kwenye...............Hahahha.Sichezi na dada zangu,nacheza na dada ako. Nasikia Kiba alishajipigia Queen darling. Mediocre domo. Anatumia skendo ili aonekane.
Hongera unaroho ngumu kusikiliza utopolo wa kiwango Cha SGR, PHD na HD.Mimi nimeupenda sana. Nauangalia tena .