Kwahiyo ay katajwa hapa?Daaaaaah afu AY asemeje...? Tukubali mzee wetu kaishiwa unachezea wewe miaka 45+ hauna hata pakulala si utopolo huo, Tena wa kiwango Cha PHD, SGR na HD...? [emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daaaaaah Habarini Wana jamvi...?
Kweli Kuna ule msemo unaosema kila zama na mda wake,leo ndo nimekubali huu msemo.
Nimejaribu kusikia wimbo wa huyu mzee wetu Alikiba nimeona kaishiwa kabisa na anatafuta back up ya kurudi kupitia Diamond the G.O.A.T.
unajua,kutokana na hivi Karibuni harmonize kuvuma sana na kuanza kumshindanisha na Diamond the G.O.AT. watanzania walikuwa wamensahau huyu mzee wetu Alikiba
So kwa huu wimbo Mediocre kweli Kama amemaanisha Basi kweli ni UJINGA,na rudia UJINGA pure Kama mediocre yenyewe.
Namuomba Diamond the G.O.A.T. akae kimya ili alone aibu mwenyewe maana Diamond alisema hatatoa tena KIKI ko nione tunavyo msahau kwa utopolo huu plus utumbo.
Namalizia kwa kusema ameshazeeka na asitaafu mziki,ameachiwa Diamond the G.O.A.T mwenye Bongo flavor yake.
Sasa Cha ajabu Nini Kama Zabibu kiba Naye kaliwa so ngoma droo, marekani alienda Mara moja Diamond the G. O. A. T Kama kwao, kuvaa alikiba ndo zero bin sifuri sasa sijui unaseme kuvaa gani maana hajawahigi hata kupendeza.Hiyo diss ya alikiba ni ya zamani alikuwa kaiweka tu alirecord baada ya mondi kumchana kwenye ile fresh remix
Mondi alisema alikiba akacheze na Dada zake kariakoo
Ali nae kajibu kuwa huwa anacheza na Dada yake mondi maana alishamtafuna queen darling enzi.
Alafu akamjibu mondi kuwa kama hiyo ulaya anayosema basi yeye kashaenda zamani mnoo.
Pia kuna sehemu anasema "we unavaa suso me bishop"
Yaani kipindi mondi anauza mitumba yeye alikuwa tiyari anavaa mikato yotee.
Nimeweka mizani sawa
Usiseme ujinga uliopitiliza sema Ana mashabiki amabao ni mbugira yaani zero brain, na yeye anaujinga wa kiwango Cha SGR, PHD na HD.kibakuli ana mashabiki damdam ila anaujinga uliopitiliza
Hivi jf siku hizi imekuwaje aseeh?Sasa Cha ajabu Nini Kama Zabibu kiba Naye kaliwa so ngoma droo, marekani alienda Mara moja Diamond the G. O. A. T Kama kwao, kuvaa alikiba ndo zero bin sifuri sasa sijui unaseme kuvaa gani maana hajawahigi hata kupendeza.
Diamond The G O. A. T amesema atoa Kiki tena yaani aendelee kupambana na Hali yake, afadhari harmonize kuliko mzee huyo miaka 45+ ubongo umechoka sana.
Now all in all ni vice versa, Diamond The G. O. A. T(Greatest Of All The Time) kiba akalee familia mke atachukukuliwa
Fact yaani alikiba ni bonge moja la sukule Tena lenye kiwango Cha PHD, HD na SGR , SO kanywe soda nakuja kulipa kwa kutambua Hilo.Bonge moja la sukule
Kama hujui hiI ndo inawaingizia pesaaAlikiba mbona anarudi nyuma badala ya kwenda mbele...au kaona harmonize anataka kuingilia nafasi ya upinzani kwa mondi kaamua awahi kuitetea maana bila kutembea na kiki ya mondi hawa wawili tutawasahau. Soon harmonize nae atakuja na kitu cha kumchokonoa mondi ili amfunike kiba...sasa ni kama wanagombania bwana
Daaaaaah ko alikiba nae katika watu walioanza kutusua mziki unamuweka jamani.....? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Afu kina At, Juma Nature, Abby Skills, Professor Jay...[emoji85][emoji85][emoji85] Naona aibu Mimi jamani.Kwahiyo ay katajwa hapa?
Haya basi mondi na alikiba Huyo nani alianza na kutusua muziki mapema.
Yaani unaambiwa kati ya asha na amina amina alienda mapema ,
Wewe unasema je juma je ? Juma kaingiaje?
Alafu innocent dependent acha ujinga ma I'd mengi sio ishu
nawakaribisha sana😂
Kweli Alikiba now ni wakuimba mapambio na mipasho... [emoji85][emoji85][emoji85]Mediocre = kanjanja
Ila safi Alikiba nae inaonesha kashajua biashara ya mziki...maana kibongobongo bila mond biashara ya mziki ngumu bora kutembea naeKama hujui hiI ndo inawaingizia pesaa
Mabifu ya muziki tu .
Mondi ndo alianza kumsema mwenzake
Abby skills ? AT? Nimeishia hapo.Daaaaaah ko alikiba nae katika watu walioanza kutusua mziki unamuweka jamani.....? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Afu kina At, Juma Nature, Abby Skills, Professor Jay...[emoji85][emoji85][emoji85] Naona aibu Mimi jamani.
Yaani kwa mafanikio ya Diamond The . G. O. A. T alikiba anaingia ×1000,yaani mpaka ampite harmonize, rayvanny, marioo, mbosso, zuchu, nandy sio mchezo..... [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Ameshazeeka akubali ni empty Head na ubongo wake umechoka, unatuimbia utopolo afu useme msanii mkubwa eti king, Mara narlimisha so akaelimishe ., Ameshindwa hata kuongelea uchaguzi, umasikini unatuletea michambo.. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Diamond alisha wapuuza, endeleeni na utoto kutafuta kujulikana kwa kutumia mgongo wa mtu kumepitwa na wakati. Hata hivyo anamaadui kila kona wote wakijaribu bahati zao za kumshusha na wameshindwa kwa uwezo wa Mungu anaepanga ridhiki. Wafanye kazi waache utoto.Baada ya Alikiba kuachia ngoma bora ya mwaka huu na mwaka kesho. Ngoma ambayo imekua gumzo Mpaka Sasa kwa kuweza kutikisa Mitandao ya kijamii na vituo vya Redio
Wimbo huo Mashabiki wengi wa Muziki hasa wanao Mshabikia Diamond wameonesha Hasira zao Kwan wanasema wimbo huo alikiba kamuimba Diamond na kumuita muuza siso na kwamba alikiba hachezi na Dada zake Bali ANACHEZA na Dada zao
Mpaka Sasa Diamond hajaongea kitu
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Ukijua kusoma na kuelewa ndo urudi Jamii forum inaonekana haujanielewa ok , hata hatutaki utufungulie nyuzi maana zitakuwa za utopolo fc Kama liwimbo ili la kijinga.Hivi jf siku hizi imekuwaje aseeh?
Takataka kabisa
Sitofungua nyuzi za kipumbavu kama hizi tena
Tumeikimbia Instagram now mmehamia huku