Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
-
- #101
# TOKOMEZA KIKI na taraabu/mipasho/mapambio take eti mediocre [emoji23][emoji23][emoji23]Wimbo sijauona Youtube wala sifikirii, nasema sitaongeza view pale abaki na utoto wake. Nitausikia wimbo wake baadae redioni/tv/bodaboda ukipigwa.
#TOKOMEZAKIKI
Kaishiwa ajui kuimba eti wanamuitaga anaelimisha jamii na waseme Sasa tuwatoe nduki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahah kanyimbo kabovu sana
Ilipaswa iishie pale lakini naona unazidi kuniquote tu tufanye ukaushe hapa siwezi poteza muda kama niliopoteza hapaMbona unaendelea kuni quote wakati umesema ni sikuquote au maada umeipenda na kuielewa, usione hiyana tumkomboe kingi wetu anazama.
Ko majungu ndo kubadilika... [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ,Kwani angebadilika kwa kutoimba majungu tusinge msifu... [emoji1787][emoji1787][emoji1787]....?Hawaoni miondoko alivyobadilika wao wanaangalia kamponda nan ilo ndio tatzo wameweka utim kizur kizur tu utim pemben kidogo
Huyo Mbuzi wako unayemwita Diamond ndo aliyeimba "NAKUFA NADEAD" kwenye wimbo wa KACHIRI.Kweli Alikiba now ni wakuimba mapambio na mipasho... [emoji85][emoji85][emoji85]
Kaishiwa eti jamani ,Na kwa hali hii kweli Diamond The. G O. A. T atambuluza kisawasawa mpaka akauze mitumba kariakoo.
Big YES wakapambane na Hali zao mziki hawauwezi.Kuimbwa kaimbwa Diamond ila kuumia ataumia Harmonize,manake hawa jamaa kama parasite bila Diamond basi mziki wao hausogei.
Kiba kaamua kuchangamka maana dogo Harmonize nae katoa kushoto kulia,hujanikomoa,hainishtui zote hazijajibiwa ila akafanikiwa kupata kiki,brother Kiba kaona dogo anataka kuchukua nafasi yake ya kulinganishwa na Diamond nae katoa dongo.
Nahisi huyu nae hatojibiwa na Mondi inapita kimya kimya.
Achana na huyo mtoto changia maada sawa.I like your avatar photo, is very catchy......
Yaaaaah na sisi ndo tuna mshambulia kwa kutumia neno la kipuuzi kwa mziki wa kipuuzi sawa, why atuimbie mapambiao/taarabu/mipasho...?Hayo ya nini cha kuimba, simo. Mimi yangu ni maana ya mediocre.
Umeitwa masikini... [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Maana umepaniki, na hii ndo tatizo la mashabiki mbugira sawa dogo.Daaaaaa ni wanaume wanaocomment humu kupinga juhudi za mwanaume mwenzao au kuna udada mwingi jf aseeee ....just imagine mwanaume kuna vitu unacomment yani mpka ukiwaza ni mtoto au nanii ....Acha wivu usiokuwa na maana na huna kitu ,,MTU wa data za buku au mitano unakuwa na wivu wewee utafanikiwa siku ukibakwa tuuu
Chuki...?Chuki?
Ni Mimi au wewe Dada?
Haya panua nikukojoleee sasa
Acha kutufananisha maana Mimi na huyo hata hatujuani sawaKigoma dependent aka innocent dependent
Tatizo sio hafanyi mziki mzuri, tatizo awe anatoa mziki mzuri daily so kwani alishindwa Nini kutoa good musiki, mpaka boko...?Alikiba hii ngoma yake ni ya hovyo,lakini haiondoi ukweli kuwa bado anafanya muziki mzuri..
Interview zake ni pasua kichwa..hajui kujielezea kabisa huyu jamaa
Ok kojoa ukalae kaka sawaIlipaswa iishie pale lakini naona unazidi kuniquote tu tufanye ukaushe hapa siwezi poteza muda kama niliopoteza hapa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] king au kimba mbona unamix maneno, ssema alikiba ni kimba wa dunia, sasjina la wimbo wenyewe ni mediocre (janjajanja/ujinga) unazania kinachoimba ni Nini...?Huyo Mbuzi wako unayemwita Diamond ndo aliyeimba "NAKUFA NADEAD" kwenye wimbo wa KACHIRI.
Ndo huyu huyu tungo zake mwanzo mwisho ni MATUSI tu!!!??
Kwa tungo za namna hii ni nani ambaye ameishiwa mawazo?
Alikiba ni Mfalme wa Bongo Flavour wewe unajua hata Dunia inajua.
The
Yeah lazima alikiba amuige role model wake(Diamond The G. O. A. T)Hivi Alikiba alianza lini hii tabia ya vijembe Mondi alishaachana nayo ye ndo anafuata nyayo[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Yeah lazima alikiba amuige role model wake(Diamond The G. O. A. T)