wimbo wa Diamomd INAMA ni kichambo kwa Zari

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,778
Reaction score
7,145
wana jf.

katika vijana wajanja dar es salaam Diamond kwa kweli uenda akawa number one kwa vile aliko toka mpaka alipo kwa kipindi cha miaka kumi amefanya mengi mno hadi kumchukulia bwana mtu mwenye pesa ndefu na akamwamishia nchini sio nchezo baadae akamzingua na kumtema. baada ya Zari kutemwa kaleta shobo za kuonyesha yuko kwenye penzi zito na kijana asiye na sura ila ana six park yake. lakini kijana mjanja akamwimbia nyimbo kuwa kijana mwembamba mwenye pesa kama dangote anaweza kupendwa na mtu yeyote hivyo asione wivu hadi kulia au kama songi limekolia sasa inabidi ainamishe alafu apindishwe ngongo. Akika aka ka jamaa kakiachaga mtu lazima kamsindikize na kijembe aisee. wema aliondoka na wimbo nitampata wapi. jkt naye akaitwa kombo, mabeto kalishwa tunguli zimembamba bado tanasha sijui itakuwaje
 
After all this time today is when you figured out what the song meant?! Your mind works sooo SLOOOOOOWLY.
 
Wewe ni mwanaume au mwanamke?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…