Wimbo wa Diamond ''Bum bum'', producer ka-copy beat

Mpe support kijana wa watu wivu hauna tija zaidi zaidi utaishia kuumia roho tu mwenzako ndio huyo anazidi kuchanja mbuga....na wewe fanya yako ya kukopi tutakupa support tu usiogope.

Ahsanteee...
 
Huwezi kusample 16bars braza...hiyo ni copying.... sampling ni tofauti.... unaweza ukachukua kionjo 2bars au 3.... unaendelea .... ila from mwanzo to mwisho.... hiyo siyo sampling.... tafuta pakudanganyia.... tumeshinda sana mastudio brazza...

Baeleze hawa bavilaza..bavivu ba kifikiri..
Sampling and copying n paste are two different things..but since wengi wetu ni wavivu kufikiri na kufanya utafiti tunakimbilia kuitana haters..nani ana mhate Diamond??people r supporting his work ndo maana anaongelewa,anafika juu sio kwasababu nyingine bali his FANs including me,u and him n her..#uvivu wa kufikiri ni kama mzigo wa miba!
 

Ndo hapo sasa umeona eeh... hv watu washawah sikia wanamziki wa raggae wanalalamika wamecopy au kusample beat zao.. maana vionjo vyake ni vilevile ila wimbo na maudhui tofauti..

Mbona hawakuhoji beat ya come over iliimbwa na steve rnb kwenye jambojambo but inajulikana ni raggae vionjo vyake mulemule.. hata beat za dancehall za jamaica ukiskia karibu zote zina fanana.
 

Mkuu ebu tusaidie sisi wavivu wa kufikiri,tofauti ya sampling na copying...ukitushushia na mifano hai..

Hivi Kanye west ana sample au ana copy?
 

Bongo watu bado tusafari ndefu kwenye muziki...Haswa kwenye ishu ya sampling,unakutana na mdau mkubwa wa media anakwambia hii wimbo ya Linah ni nzuri ila hatafika mbali sababu amekopi kwa diamond,na uyo ni mtu anaepiga mziki kila siku redion watu wanamsikiliza..Hajui kusample na kukopi.
 
Ungekua unafatilia production ya mziki kiujumla usingeropoka hivi! Umejiabisha kwa kweli.
 
Akiimba mnanda "ooh mswahili"

Akiimba vya kizungu "ooooh kacopy"

Kwani kuna mtu kaibiwaaa?......ni mwendo wa viparaaaaa!
U'r Diamond fan 100 percent hahaha.ngoja tukuache wengine ma heaters tuu.
 
Sampling kwa beat ni kitu cha kawaida after all bongo hakuna beat mpya... kukopi wimbo ndio ishu sio beat

hakuna kitu km hicho km ww upo sawa na mziki wa bongo sikiliza beat za majani den uniambie
 

baba ivi unaijua maana riddim au unasema tuu,,alafu tofautisha riddim na bongo fleva
 
Mpe support kijana wa watu wivu hauna tija zaidi zaidi utaishia kuumia roho tu mwenzako ndio huyo anazidi kuchanja mbuga....na wewe fanya yako ya kukopi tutakupa support tu usiogope.

sawa mrs diadomo
 
Kile kile kipindi cha KuCopy na KuPaste cha kina Joti kiliishiaga wapi?
 
Navyofahamu mimi... kwa sasa hivi nyimbo nyingi za kiafrka esp. Nigeria na Southafrica zinafanana beats. ushahidi ni pale unaposikiliza DJ ana-mix nyimbo hizo... kwa hiyo huyu jamaa alichofanya sio kizuri kwa maendeleo ya muziki wetu na Afrika kiujumla. lakini sio mtu wa kwanza Afrika ku-sample au ku-copy kabisa beat... mi binafsi napenda genre ya muziki wa sasa hivi unaotamba Afrika, lakini nakerwa na kufanana huko.... ukitaka kujua waafrika hatuna ubunifu ni km ambavyo pale style fulani inapokuja bas woote tutaiga. na kuiga namaanisha kila kitu.. hakuna kuboresha. hadi kwenye video hivyohivyo... reference: style ya yemi ya wimbo wa Johnny, style ya wimbo km huo hapo juu n.k...
 
Maprodyuza wa bongo wengi ni vimeo tu,mina lost ya nyimbo nyingi ambazo wamecopy beats za nje.Hata kwa humuhumu ndani bado wanafanya madudu.
Kwa mfano:sikiliza beat ya wimbo wa Makomando Linah na wimbo wa Barnaba Wahalade halafu uniambie je kuna tofauti?


Sent from my iPad
 

Hapo mkuu umekosea,kwa hizo beats unazosema hailingani na huku kukopi kwa maprodyuza wetu.kwa case ya jamaica wale jamaa wanachokifanya prodyuza anatengeneza beat moja then anawaalika wasanii anaowata yeye kutunga na kuingiza mashairi kwa kutumia hiyo beat,(riddim).
Ntakupa mfano wa hizo riddim
1.Tropical escape riddim mix
2.Heart and soul riddim na ndio beat iliyotumika humu ambayo Steve rnb alitumia,humo ndani wamo Busy signal,Jah cure,Chris Martin D Major etc

3.Cardiac strings and bass riddims
4.City life riddim
5.love bump riddim mix

Just to mention a few and that is what RIDDIM is .....interactive use of beat


Sent from my iPad
 
Kwa mtindo huu ataendelea kusanda tuzo za kimataifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…