Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Hata "kipenda roho" wa Remmy Ongala uliwahi shika number 1 ktk radio za south africa
Huu wimbo mkali sana....hapa palattt hapa davido hadi raha
domo anafanya vizuri sana kwa sasa,namkubali tatizo lake ni moja,kubadilisha wasichana kama nguo kwa sababu ana pesaSafi sana domo
</p>Safi sana domo
from tanzania to lagos i will make u famous............
<p>
</p>
<p>
domo anafanya vizuri sana kwa sasa,namkubali tatizo lake ni moja,kubadilisha wasichana kama nguo kwa sababu ana pesa</p>
halafu pia ni kama kuna kidharau fulani hiviHapo ndio alinichefua huyo dogo... Ally Kiba ameimba na R Kelly bado hakutufanya famous aweze huyo dogo wa Abuja?
Ile verse ni dharau Domo alipaswa kuikataa.
Hata "kipenda roho" wa Remmy Ongala uliwahi shika number 1 ktk radio za south africa
Umo katika soundtrack movie yaNatural Born Killers
Natural Born Killers (soundtrack) - Wikipedia, the free encyclopedia
Mambo mengine huwezi kumlaumu bhana...unajua kuna namba zingine zkicheza kwenye 18 yako halafu ukazipotezea; wallah mungu anakumiminia mzigo wa madhambi manake una-abuse mautundu yake ya kuumba. Bora uzini akumwagie dhambi za kuzini ambazo karibu wote tunazo kuliko ku-abuse mautundu yake ya uumbaji...trust me, mungu lazima aku-mind.domo anafanya vizuri sana kwa sasa,namkubali tatizo lake ni moja,kubadilisha wasichana kama nguo kwa sababu ana pesa