Wimbo wa Harmonize Yanga umekuwa Number 1 trending: Diamond alipia post ili kujaribu kumshusha

hiram

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
266
Reaction score
393
Wimbo wa Yanga ulioimbwa na Harmonize umeushusha wimbo wa Simba na kuwa Number One trending kwenye youtube; hata hivyo Mondi hajakubali na hivyo amelipia post ya facebook (sponsored) ili kuutangaza wimbo wake wa Simba na pengine aweze kumpiku tena Konde Boy


 
Ilianza kutoka nyimbo ya diamond ikawa ad namba moja on trend ,ikaja ya konde nayo kwa muda wake ikawa namba moja on trend sasa cha ajabu nin ,kwan uyo konde ajawai kuwa number moja on trend ktk nyimbo zake, au ulitaka kila siku nyimbo ya diamond ndo iwe namba moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…