Wimbo wa Joto Hasiara, Jay Dee alikopi, akabadili Maneno, Akapesti


Naona majibwa yote umeyakata kilimi, sasa kimyaaa. Asante sana mkuu.
 
kweli hiyo, hata Anita wa Matonya nao alikopi kwenye nyimbo ambayo ilishakuwepo toka kitambo

Mmoja ni "wimbo" na "Nyimbo" ni nyingi, sawa!?? tuanzie somo letu hapo kwa leo....... Yelela yelelaaa...!!
 
Weka link basi kama wenzako wanavyoweka ozawise nenda mlalakuwa ukale lunch.
 
Kwani kama wimbo ni wa ki Jita kuna tatizo???
 
Kwani Jidd ndo wa kwanza!?? walikopi akina mr Nice, twanga na wengineo... angalia nyimbo za kibongo uone ni ngapi hawajakopi.. mimi namuona Jide ni mbunifu.. au YOTE SABABU YAAA.... SABABU YAAA... NA RUGE MWENYEWE YELELAAAAA.....!!!!

Baba V hebu nifumbue macho Mr.Nice aliwahi kucopy kwa nani na wimbo upi?

Duh kama nice naye aliwahi copy basi bongo noma


Sent from BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Baba V hebu nifumbue macho Mr.Nice aliwahi kucopy kwa nani na wimbo upi?

Duh kama nice naye aliwahi copy basi bongo noma


Sent from BlackBerry 9800 using JamiiForums

Kwa mujibu wa maelezo ya mleta mada na anavyomaanisha kukopi basi Mr. nice alikopi nyimbo za watoto, na Twanga walikopi kwa wahehe ile "sagula madulu na mapilipili" pale walipoimba "pilipili za shamba zawawashia nini"
 
Last edited by a moderator:
mmekuja kivingine sasa baada ya kupigwa bao la kiwiko kwenye show ya anaconda,hamna jipya,mmebakia kuweweseka tu,mara kwenye kesi hamtokei,full kuaibika,na bado!!
 
kwahiyo wewe hapa ni GT!!!!!!!
Eti wenye akaunti za mwaka 2013 tuna matatizo!!!!!!!!!
kama umeishiwa maneno huo mda ungekuwa umelima hata nusu ekari!!!!!
unaweza ukawa umejiunga 2006 na bado ukawa unaongea non sense!!!!!!!!!

Heaven on earth wala usipoteze muda na huyo jamaa alishagundua kuwa hapa amejichanganya.
yani hata ukiangalia alivyo jieleza unaweza usimulewe kabisa ana maanisha nini na anataka nini.
Hata maana ya kukopi sijui kama ana ifahamu
 
Last edited by a moderator:
aisee nime amini lady jaydee mmemshindwa kabisa.
 
Nimekutafakari nikakosa jibu nikujibu nini, nilitaka nitumie formula ya biblia ya -------- mjibu sawasawa na upumbavu wake nimeona nitakuonea, nikiandika sentensi mbili zaidi ya hizi basi nitapigwa ban.

kwa utulivu kabisa nikukumbushe neno hili:

A wise man can learn more from a foolish question than a fool can learn from a wise answer.
- Bruce Lee


kwahiyo wewe hapa ni GT!!!!!!!
Eti wenye akaunti za mwaka 2013 tuna matatizo!!!!!!!!!
kama umeishiwa maneno huo mda ungekuwa umelima hata nusu ekari!!!!!
unaweza ukawa umejiunga 2006 na bado ukawa unaongea non sense!!!!!!!!!
 
Nani kasema ni wakikurya? mbona unadandia mbele, itamea. kama ni wakinyakyusa ungeleta hoja kama nimefanya umbea, ulichofanya si umbea? Jipange

Wa kijita upi?
mi najua wa kibena na kinyakyusa.
Amba eeh eeeh eeeh amba
 
Atleast, wewe umeelewa maana yangu maana umejibu hoja kwakunionesha ni jambo la kawaida nami sina shida na majibu yako, This is a wise answer, umelikabiri swali nami nimelizika.

Tatizo wengine hapa, wanafikiri tu FA, CLOUDS ukimtaja jide, mie niwe katika conflict zao ili iweje? inisaidie nini? au nimchukie jide au FA au Clouds kwa lipi, hakuna hata mmoja kati yao ninaye collide naye kimasilahi, now how comes?

kuweni watu wakufikiri unapoona kitu afu diagnose meaning kutoka katika kile mtu ameandika, otherwise mnanipa nafasi yakuendelea kuupenda huu msemo wa Bluce Lee.

A wise man can learn more from a foolish question than a fool can learn from a wise answer.



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…