sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
πππ sio kosa lake.Mzee anasinzia hata mbele ya mgeni wake.. π π
Mkuu demokrasia Ni kutukana matusi ? Au Mimi sijui maana ya neno demokrasia?Kwenye democracy ya kweli huko kwetu sisi watu elfu watauliwa kwa Rais mmoja tu.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Huyu mzee alizingua kwa Afghanistan.Biden anaparuana na kivuli cha Trump,kila analofanya anataka kulinganisha na mtangulizi wake Trump, sasa hiyo itamfelisha sana..
Kimbunga IDA,vita ya Afghanistan ni presha tosha..
Hapana aisee,it shows some weakness π ππππ sio kosa lake.
Evacuation mission ya Afghanistan ndio amezingua sana,ndio hapo watu wanamlaumu.Biden anaparuana na kivuli cha Trump,kila analofanya anataka kulinganisha na mtangulizi wake Trump, sasa hiyo itamfelisha sana..
Kimbunga IDA,vita ya Afghanistan ni presha tosha..
kwa katiba yao sidhani kama angeweza gombea tenaIla Democratic si afadhali wangemrudisha Obama maana huyu mzee mpaka inafikia hatua anasahau njia ya kwenda kwenye ofic take
Yaani anazidiwa mpaka na mstaafu mwinyi
Kwa BIDEN Wamarekani walichemsha.Kwa hali aliyonayo hawezi kwenda na mikikimiki ya Urais.Wamarekani washamchoka huyu mzee π π atafutiwe tu kitanda alale
wimbo huu umebanwa sana kutojulikana ila kwa jinsi biden alivyochokwa, video inaenda views milioni licha ya kuimbwa na msanii mchanga
Hapa ni baadhi ya wamarekani wakiimba kwa hisia kali
View attachment 1929877
Mkuu demokrasia Ni kutukana matusi ? Au Mimi sijui maana ya neno demokrasia?
Na hapo Trump hapewi air time na vyombo vya habari.Biden anaparuana na kivuli cha Trump,kila analofanya anataka kulinganisha na mtangulizi wake Trump, sasa hiyo itamfelisha sana..
Kimbunga IDA,vita ya Afghanistan ni presha tosha..
Wamarekani washamchoka huyu mzee π π atafutiwe tu kitanda alale
wimbo huu umebanwa sana kutojulikana ila kwa jinsi biden alivyochokwa, video inaenda views milioni licha ya kuimbwa na msanii mchanga
Hapa ni baadhi ya wamarekani wakiimba kwa hisia kali
View attachment 1929877
Wakoloni wenu wanashindana na kuoneshana ubabe nani anaweza kuwatawala watu weusi vizuri. Na ww umekaa hapa ubapretend kuwasifiaBiden anaparuana na kivuli cha Trump,kila analofanya anataka kulinganisha na mtangulizi wake Trump, sasa hiyo itamfelisha sana..
Kimbunga IDA,vita ya Afghanistan ni presha tosha..
Ulimwengu haujawahi shuhudia Rais aliyependwa na wananchi wake woteWamarekani washamchoka huyu mzee [emoji23] [emoji23] atafutiwe tu kitanda alale
wimbo huu umebanwa sana kutojulikana ila kwa jinsi biden alivyochokwa, video inaenda views milioni licha ya kuimbwa na msanii mchanga
Hapa ni baadhi ya wamarekani wakiimba kwa hisia kali
View attachment 1929877