Bavon Marie Marie (Siongo Bavon) alifariki August 5, 1970 akiwa kijana wa miaka 26. Anaetaka kufahamu alikufaje amtafute Mzee Tshimanga Assosa (Papa Tshim) ambaye walikuwa wote siku msiba ulipotokea na alikuwa rafiki yake Bavon wakiwa wote bendi ya Negro Success. Bavon alikuwa mdogo wake Franco na kama kaka yake alikuwa Mpiga solo maarufu DRC akiwa na Mzee Bholen (nae marehemu) ambaye pia alikuwa mpiga solo na kiongozi wa Negro Success.yaal mwaka 73, ndio alikufa bavon Marie cc@masiya
Hapana mkuu wa mwisho ni les rumeurs. Hata ukizisikiliza utagundua kua saut ya Franco kwenye les Rumeurs imeisha.na pia uli achiwa miaka 3 baada ya kifo chake
Makambo ezali ya minene au makambo ezali ya Bourreau ni kuhusu matatizo ya mapenzi na les rumeurs ni kuhusu umbea hata kifo walimtangazia hata hajafa.mkuu lucas mobutu huu wimbo unataka kufanana na ule uitwao "makambo ezali minene" una maudhui sawa na huu ninazo tafsiri za nyimbo za Franco nyingi tu sema sijui namna ya Ku attach hapa
cc Masiya
Safi sana. Kuna jamaa nilikuwa nikisikiliza nyimbo zake, jina nakumbuka alikuwa anaitwa PAPA MIKI. siku hizi nikijaribu hata kwenye internet sioni jina hili, ukiachilia kupata nyimbo zake, kulikoni?Alikua mdogo wake Franco yaani mtoto wa swela (mama yake franco)
Mtoto wa franco ni Emongo
Inasemekana sababu ya kifo cha Bavon ni aligundua Franco ana uhusiano na mke wake hivo bavon akachukia na kuendesha gari akiwa na hasira akapata ajali akiwa na huyo mwanamke
Utafute mwingine unaitwa ngugi pia kaimba na tabu leyndio wimbo ninaoukubali wa gwiji huyo
Watasema basata inawanyonyaNgoma ni janga la dunia,wanamuziki wengi wameteketea sana kwa NGWENGWE....BASATA ina kazi sana kuwapa elimu hii hawa wanamuziki wetu maana wanavyobanduana wenyewe kwa wenyewe na kupokezana vijiti inatisha.
Mzee alikua hajatuliaShukrani sana mkuu lucas mobutu.ila huyu mzee wanasemaga alidedi kwa HIV.
Na miaka hiyo wanamuziki wengi sana waliondoka na maradhi hayo,ila tusihukumu!
Ndio huo nimeandika mashairi ,mkuuKweli kabisa,sauti yake katika huu wimbo dhahiri aliuimba akiwa katika hali dhoofu kiafya (by the way wimbo wenyewe si ndio huu ambao jamaa ameandika mashairi yake hapo juu?)
Mkuu umewahi iskia la reponse de mario ? Kali sanaMakambo ezali ya minene au makambo ezali ya Bourreau ni kuhusu matatizo ya mapenzi na les rumeurs ni kuhusu umbea hata kifo walimtangazia hata hajafa.
Ngoja niutafuteRIP La Okanga La ndju Pene Lwambo Lwanzo Makiadi aka Franco. Miaka nnakua na kupata fahamu hizi nyimbo ndo zilizokuwa zinatamba sana. Tulikuwa na santuri na kanda nyingi tu za Franco. Nyimbo zake ni tamu balaa, halafu kuna watu walipitia pale TP ok Jazz ilikuwa km chuo flani, Lutumba Simaroo Masiya, Youlou Mabyala, Madilu System, Josky Kiambukuta hawa watu walipikika haswa. Sikiliza Freins a Man! Lwambo Noma
Huyo sijamsikiaSafi sana. Kuna jamaa nilikuwa nikisikiliza nyimbo zake, jina nakumbuka alikuwa anaitwa PAPA MIKI. siku hizi nikijaribu hata kwenye internet sioni jina hili, ukiachilia kupata nyimbo zake, kulikoni?
shukrani kwa ufafanuz napenda mno nyimbo za rhumbaBavon Marie Marie (Siongo Bavon) alifariki August 5, 1970 akiwa kijana wa miaka 26. Anaetaka kufahamu alikufaje amtafute Mzee Tshimanga Assosa (Papa Tshim) ambaye walikuwa wote siku msiba ulipotokea na alikuwa rafiki yake Bavon wakiwa wote bendi ya Negro Success. Bavon alikuwa mdogo wake Franco na kama kaka yake alikuwa Mpiga solo maarufu DRC akiwa na Mzee Bholen (nae marehemu) ambaye pia alikuwa mpiga solo na kiongozi wa Negro Success.
shukrani kwa ufafanuz napenda mno nyimbo za rhumbaBavon Marie Marie (Siongo Bavon) alifariki August 5, 1970 akiwa kijana wa miaka 26. Anaetaka kufahamu alikufaje amtafute Mzee Tshimanga Assosa (Papa Tshim) ambaye walikuwa wote siku msiba ulipotokea na alikuwa rafiki yake Bavon wakiwa wote bendi ya Negro Success. Bavon alikuwa mdogo wake Franco na kama kaka yake alikuwa Mpiga solo maarufu DRC akiwa na Mzee Bholen (nae marehemu) ambaye pia alikuwa mpiga solo na kiongozi wa Negro Success.
ile si.n remix ya Mario?Mkuu umewahi iskia la reponse de mario ? Kali sana
shilingi ngapi mkuu,,?Niliskia ailuza gitaa la Franco
Mpongo alikuwa kisu kweli kafa na 33 yrs tu,vp naye Ngwengwe nini?Mzee alikua hajatulia
Kina mpongo love na wanamuziki wengi kapitia
Yah. Hiyo hiyoshukrani kwa ufafanuz napenda mno nyimbo za rhumba
ile si.n remix ya Mario?
Nimesahau ni miaka 3 iliyopitashilingi ngapi mkuu,,?
Wanasema hivo wahengaMpongo alikuwa kisu kweli kafa na 33 yrs tu,vp naye Ngwengwe nini?