Wimbo wa rasmi World Cup 2018 watoka: Wa Diamond vipi ?

TUJITEGEMEE

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
25,225
Reaction score
25,488
Mwanzoni mwa mwaka huu tulijulishwa kuwa Diamond (Mwanamuzi wa Tanzania) amepewa nafasi ya kutunga wimbo rasmi wa Kombe la Dunia (kama nilielewa maelezo vyema). Lakini leo kutoka mtandaoni, nimekutana na wimbo rasmi wa Kombe la Dunia tena kutoka official Russia website (RT.com) ambao umetengenezwa na Nicky Jam akiwashirikisha Will Smith (muigizaji wa filamu na mwana-rap), na Era Istrefi. Huku wimbo huo ukiwa umeandaliwa na Diplo. Je. Ule wa Diamond ndiyo basiii ? Nauliza!

Wimbo wenyewe wa Nicky huu hapa.

‘We want to see the world dance’: Will Smith’s official Russia 2018 song released online
 
Nlikua nawaangalia wale team mavi walivojigamba.....
 
Ya diamond na ambayo kashilikishwa (color) ni official song ya Coca-Cola ktk world cup 18. Kama ilivyokuwa ile ya k-nan (nimesahau spellings zake) wiven flag official song ya coca-cola 2010 SA. Na official song ilikuwa WAKAWAKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…