Huo wimbo upo kwenye mtandao lini?1) Sijasema Kiba kakosea
2) Ushahidi wa wimbo nimeweka
Aisee kushabikia team zenu inabidi mtu ujitoe ufahamu kama hivyo na usikute huyo mond wala hakufahamu we kazi kutoa povu kwenye mitandao pole yakoLikiongozwa na komando mange na ma ex wa domo.....mkisikia kuwa mond kakopi sehem huwa mishipa inakakMa san
Sent using Jamii Forums mobile app
wimbo uliouweka umeimbwa na nani?Nimeweka Wimbo watu wausikilize watoe maoni, sijasema kakopi. Hata mie sijui ndio maana nimeweka huu wimbo
Ww mwenyewe unaandika mishipa imekutoka utafikiri uyo kiba anakufahamu.Aisee kushabikia team zenu inabidi mtu ujitoe ufahamu kama hivyo na usikute huyo mond wala hakufahamu we kazi kutoa povu kwenye mitandao pole yako
He he pole mkuuWw mwenyewe unaandika mishipa imekutoka utafikiri uyo kiba anakufahamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kuwa wimbo ulianza kusikika ni wa King Kiba na pia wewe umeshindwa kutwambia ni wa msanii gani na aliutoa lini basi huyu jamaa ndio amuekopiNimeweka Wimbo watu wausikilize watoe maoni, sijasema kakopi. Hata mie sijui ndio maana nimeweka huu wimbo
Hapana jaman sisi wengine hatuna team tunapenda good music tu hata mond akitoa music mzuri lazima tuupende ila mkubali mkatae mzee wa seduce kipindi hiki mumpe shikamoo tu
Wimbo kaimba nani? Hii ni cover ya wimbo wa kiba boss. Unaweka wimbo bila hata jina la muimbaji? Weka hata link ya YouTube basi! !1) Sijasema Kiba kakosea
2) Ushahidi wa wimbo nimeweka
Kakopi sasa siyo idea zake.....we need creativity siyo copying and paste.Hapana jaman sisi wengine hatuna team tunapenda good music tu hata mond akitoa music mzuri lazima tuupende ila mkubali mkatae mzee wa seduce kipindi hiki mumpe shikamoo tu
Hebu tuambieni umeimbwa na nani..?? Ni msanii wa nchi ganiKumbe huu wimbo kaiba huyu kibaka. Mange aje ku difend huu ubakaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
This shit will be seducing only primary 7 and below
Wasafi zitumieni studio zenu kufanya mambo ya maana na sio kutengeneza tengeneza pumba,Kiba hamumuezi team7 hahahha