Dongo La Kiemba
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 1,830
- 1,263
ATTENTION!!!!Wadau Kwema??
Kwa sasa Ally Kiba anatingisha na wimbo wake alioutoa hivi karibuni wa Seduce Me. Wimbo huo kwa sasa ni 'heat Song" kiasi kwamba popote unapopigwa basi watu wengi huonekana kuufurahia na kuusifia.
Sasa basi leo katika pitapita zangu huku na kule nikakutana na wimbo unaofanana na uo kuanzia "beats" mpaka "melody" yake, tofauti inakuja kwenye lugha ya Kienfereza iliyotumika pamoja na maana ya maneno yaliyotiumika labda.
Sijaelewa hasa kaimba nani huo wimbo, wala kati ya huyo muimbaji na Ally Kiba ni nani hasa alianza kuimba. Pengine mkiusikiliza wimbo huo mnaweza kuuelewa umeimbwa na nani na kuanzia hapo tutajua nani alianza kuuimba.
wengi tunataka kujua huo wimbo wa nani na umetoka lini na producer ni nani?hizi blahblah na ujinga wakucopy kama zilipendwa ya wasafi wa madale hazita fua dafu huu wimbo ushawashika wenye muziki wao hiyo ndo bongo fleva watu wanayoipenda,tuwekee na eneka basi pamoja na ngoma ya davido basi1) Sijasema Kiba kakosea
2) Ushahidi wa wimbo nimeweka
Waunganishe na ule wa Tonya kabisa ili mlinganisho uwe sawaWeka Na ule wimbo unaofanana Na wa rose mhando wa kivue tulinganishe teh
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi umesoma mada na heading yake lakini??Naona mtoa uzi umetumwa ila jibu maswal haya,,
Kaimba nan?
Wa wap?
Lini?
We umeuleta huku bila kujidhirisha kwamba ni wimbo wa nani ili nini?
Ukishajua inakusaidi nn?
Nan kakutuma ulete kwa magreat thinker?
Usijaribu kuizuia mvua kwa mikono mwsho utaloana mwili mzima,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm siyo shabiki wa diamond ila kama ni wao wemetengeneza wamefeli sana na pia wataupa huu wimbo promo za kijinga sana na kama kucopy kiba siyo mjinga akopy kila kitu hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Watagawa pesa ili watu wasikilize nyimbo?[emoji28]Elimu ni nzuri sana ukiwa nayo ila ukiikosa angalau uwe na ufahamu lakini ukikosa vyote utafanya mambo pasipo kujua matokeo... WCB wamepewa pesa ila hawana elimu wala ufahamu nadhani kwa hiki ndo watashawishi wengi kuutizama na kuusikiliza huu wimbo mara nyingi zaidi
Kwahiyo South America husema Mashallah kwenye Nyimbo zao? uliza vizuri kule ni Roman Catholic ukipeleka udini tofauti sijui Ukristo au Uislam unajitafutia issueKiba huo wimbo ni copy and paste! Nimejaribu kuangalia kwa Shazam sijapata jibu Lkn inaonyesha ni wimbo kutoka South America