Musundi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,584
- 2,613
Wanajamvi, nakuja kwenu kutaka msaada kwa wataalamu wa fasihi kuhusu ujumbe uliomo katika wimbo uliotajwa hapo juu. Kiukweli Mrisho Mpoto namkubali sana kwa mashairi yake - tatizo tu sipati ujumbe sababu ya mafumbo yaliomo katika mashairi yake.
Nakuja kuomba yeyote anayeelewa ujumbe uliomo katika wimbo huu anisaidie. Naambatanisha video ya wimbo huo hapa.
Asanteni.
Nakuja kuomba yeyote anayeelewa ujumbe uliomo katika wimbo huu anisaidie. Naambatanisha video ya wimbo huo hapa.
Asanteni.