Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wimbo wenyewe upo wapi!? Nitatoaje maoni wimbo siujui!?Huyo ni Mumarekani anatoa maoni yake kuhusu wimbo wa taifa la Kenya. Wewe maoni yako ni gani?
I have seen our national anthem is a hit globally.Hata watoto wamarekani na britain hujifunza wimbo huu kwenye choir zao.Huyo ni Mumarekani anatoa maoni yake kuhusu wimbo wa taifa la Kenya. Wewe maoni yako ni gani?
Alafu pia ya TZ ni copy paste ile ya south africa na zambia. Yani hata kwa kutunga wimbo wa taifa, mlikuwa wavivu mkatafuta ya wengine mkajibandikia.Wimbo wenyewe upo wapi!? Nitatoaje maoni wimbo siujui!?
Mwenzako anaongelea wimbo wenu wa taifa wewe unakuja kuongelea wimbo wetu.Alafu pia ya TZ ni copy paste ile ya south africa na zambia. Yani hata kwa kutunga wimbo wa taifa, mlikuwa wavivu mkatafuta ya wengine mkajibandikia.
I have seen our national anthem is a hit globally.Hata watoto wamarekani na britain hujifunza wimbo huu kwenye choir zao.
Ilhali youtuber mmoja anaitwa J.J. McCullogh amerank ya Tanzania among the wierdest national anthems.
And then listen to Mani (A Kenyan indian) singin our national anthem.
Listen to African melody.
MUNGU IBARIKI AFRIKA
Listen to African melody.
MUNGU IBARIKI AFRIKA
Wewe si unyamaze tu ufiche upumbavu wako, Tanzania iliyopata uhuru 1960 ichukue wimbo wa mataifa yaliyopata uhuru 1980s and 1990s?Hii mlikuwa wavivu mkachukua ya Afrika kusini na Zambia. Yani hata wimbo wa taifa hamwezi tunga wenyewe? hii ni uzembe na uvivu ya aina gani?
Not SA and Zambia hata Zimbabwe tunashare nao kutokana na history ya mataifa yetu, usifikiri ilikuja tu by chance Tanzania, South Africa, Zambia, Zimbabwe zikawa na melody inayofanana!Sounds good but not original ....SA and Zambia share the same
Eti nini? Fanya risechi kwanza usije ukajiaibisha bure. Tune na melody pia ya wimbo wa taifa la Kenya ni 100% Kenyan[emoji1139]. Kutoka kwa 'lullaby' ya kipokomo ambayo ilitungwa na Mzee Galana Morowe Menza mwenyeji wa kule Tana River. Lullaby that became National AnthemHakuna kitu hapo ina "tune" ya kikoloni hauna melody ya kiafrika ndani yake.