Wimbo wa Taifa na EA radio

womanizer

Senior Member
Joined
Jun 13, 2011
Posts
106
Reaction score
20
Angalau mara mbili kila siku, hasa kipindi cha Supermix, lazima wimbo wa Taifa upigwe. Nijuavyo wimbo huu ni kielelezo na heshima kwa Taifa na upigwapo aghalabu hupaswa kuashiria tukio lisilo la kawaida. Inakuwaje EA Radio mnaushushia hadhi?
 
EA wanapiga wimbo wa taifa wa Africa ya Kusini sio wenu
 
Kwani kuna ubaya gani kuuimba wimbo wa taifa,mbona Kenya unapigwa mpaka vilabu vya pombe.
 
...............Heshima ya viongozi wenyewe imeshuka,sembuse wimbo wa taifa.................

Angalau mara mbili kila siku, hasa kipindi cha Supermix, lazima wimbo wa Taifa upigwe. Nijuavyo wimbo huu ni kielelezo na heshima kwa Taifa na upigwapo aghalabu hupaswa kuashiria tukio lisilo la kawaida. Inakuwaje EA Radio mnaushushia hadhi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…