Kumbe upo, kitambo sana !Hati .... wanayo .....
Swissme
Wimbo uko mataifa manne wewe uje kusema una hatimiliki ya serikali?Ukitaka kubadili chochote sharti kibalib na sharti Ni hili
Permission is granted at the discretion of the Government and may be subject to certain conditions, including:
Chadema Wana hatia hawakuomba kibali
- the tune or the words of the Anthem may not be modified, parodied or demeaned
- alternative words cannot be substituted for the words of the National Anthem.
Mwaka 1867 ni serikali zipi za Afrika zilipewa hati miliki na Enoch Sontonga ambae aliutunga kama wimbo wa kanisani?Hati miliki ilikuwa granted na owner mwalimu wa shule ya msingi aliyeutunga kule afrika kusini zitumiwe na serikali za Afrika akaruhusu huo wimbo wa Nkosi Sikelele i Afrika yaani Mungu ibariki Afrika Chadema hawamo kwenye waliopewa hati miliki
Kwa hiyo serikali ndiyo iliyoondoa neno Tanzania na kuweka Magufuli kama walivyoimba Uvccm Temeke?Hajui mumiliki wa wimbo wa taifa yule achana naye
Mali zinazomilikwa na serikali zote duniani Ni pamoja na wimbo wa taifa ziwe Marekani au nchi zote za jumuiya ya madola no Mali ya serikali
Bush Lawyer anapiga ramli katika ubora wake. Unawezaje kuwa na hakimiliki kwenye wimbo uliokopi tyuni!Ukitaka kubadili chochote sharti kibalib na sharti Ni hili
Permission is granted at the discretion of the Government and may be subject to certain conditions, including:
Chadema Wana hatia hawakuomba kibali
- the tune or the words of the Anthem may not be modified, parodied or demeaned
- alternative words cannot be substituted for the words of the National Anthem.
Mkuu, kinachopaswa kuwekwa wazi ni sheria ipi ambayo imevunjwa, na ni kifungu kipi hasa cha sheria hiyo kinachowaweka hatiani. Kwa nini watu wanauzunguka mbuyu wakati "facts" za kisheria zipo?Ukitaka kubadili chochote sharti kibalib na sharti Ni hili
Permission is granted at the discretion of the Government and may be subject to certain conditions, including:
Chadema Wana hatia hawakuomba kibali
- the tune or the words of the Anthem may not be modified, parodied or demeaned
- alternative words cannot be substituted for the words of the National Anthem.
Mkuu onaga aibu. Hebu acha uongo.Hati miliki ilikuwa granted na owner mwalimu wa shule ya msingi aliyeutunga kule afrika kusini zitumiwe na serikali za Afrika akaruhusu huo wimbo wa Nkosi Sikelele i Afrika yaani Mungu ibariki Afrika Chadema hawamo kwenye waliopewa hati miliki