Wimbo wa Taifa uwe huu

Wimbo wa Taifa uwe huu

Mshaanza tena, hatujakariri upya rangi za bendera mnatuletea mashikolo mageni
 
Nyimbo ya Taifa kama Katiba tu, undeni tume kwanza, ikataliwe, Mbowe afungwe n.k ndo tujue kama ni kipaumbele au la
 
Mimi natamani ule wimbo wa "Tazama ramani utaona nchi nzuri........" Ndiyo ungeboreshwa na kuwa wimbo wa Taifa.

Huu wimbo wa sasa na naona hauna tija! Kwanza tumedesa kutoka Afrika ya Kusini, Pili tunawaombea viongozi ambao kimsingi wengi wao hawatimizi wajibu na majukumu yao ipasavyo, na mwisho kabisa tunaliombea Bara la Afrika ambalo halina umoja wa kueleweka!
 
Back
Top Bottom