Mimi natamani ule wimbo wa "Tazama ramani utaona nchi nzuri........" Ndiyo ungeboreshwa na kuwa wimbo wa Taifa.
Huu wimbo wa sasa na naona hauna tija! Kwanza tumedesa kutoka Afrika ya Kusini, Pili tunawaombea viongozi ambao kimsingi wengi wao hawatimizi wajibu na majukumu yao ipasavyo, na mwisho kabisa tunaliombea Bara la Afrika ambalo halina umoja wa kueleweka!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.