Wimbo wa Taifa

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
Hivi, Tangu mwaka 1962 wimbo wa Taifa unaimbwa lakini Video yake haijatoka Kwanini? Inamaana pesa za Serikali zinaenda wapi? Hazitoshi kutolea shutting? Hilo Nalo Ni JIPU!!! AU , UNAYO VIDEO YAKE! Unitumie,!
 
Ndio sababu inaitwa wimbo wa taifa, na sio video ya taifa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…