washabiki wa simba bana !!! polen, anywai karibuni jmosi pale muone tunavyowaaibisha waarabu.
mtawapiga ngapi?
hatuna makuuu 2 oclock!!
Hawa ndugu zangu naona wameishiwa kabisha..zamaleki wameshafungua domo kumeza hili kandambili wao wamebakia kutafuta wimbio sijui taarabu gani hata siwaelewi elewi. anzisheni bendi kabisa tujue moja tununue nyimbo zenu ..mnachekesha kweli ha ha ha ha ..
wasubiri kipigo cha mbweha mwitu tu....hakuna lolote.
Kama Taifa ilibidi simba aungane na Yanga kumpa mbinu za kuwachapa hawa wamisri bse simba huwa anawafungaja hawa several times
Hawa ndugu zangu naona wameishiwa kabisha..zamaleki wameshafungua domo kumeza hili kandambili wao wamebakia kutafuta wimbio sijui taarabu gani hata siwaelewi elewi. anzisheni bendi kabisa tujue moja tununue nyimbo zenu ..mnachekesha kweli ha ha ha ha ..
sijaponda wimbo wao kaka....ila nilikuwa nataka wa concentrate zaidi kwenye maandalizi.nakuamini sana kwenye masuala ya michezo ila leo umeboa broda.
Timu nyingi duniani zina anthem, sisi Simba tunayo 'Kidedea' ingawa sio formal lakini ndio utambulisho wetu.
Sasa sijui wewe unaumiaje Yanga wakiwa na wimbo?
Jinga wewe...