Aisee huu wimbo wa Salome ni Shida sana mtaani kuanzia kitaa, club na bar..!! KwA wiki tatu sasa hii ngoma bado inasumbua mtaa. Miye ni Timu Tanzania, japo ukweli ni kuwa Daimond huwezi kumcopare na allykiba.. Yule jamaa wa Tandale ni next level..!! But tanzania tunahitaji wakina daimond km 15 hivi...! Aje ilifanya Poa sana mwanzoni nadhani ndo wimbo uliomrudisha ally kiba kwenye peak. Ally ukitoa Nyimbo Kama aje kama nne hivi utakuwa Unaleta ushindani wa kweli achana na Hizi siasa za Mitandaoni ambazo zinataka kufananisha mto na bahari..!
Aje allykiba pale ulitulia Sana Mzee..but punguza collabo na Wasanii wa ndani. Nyimbo nying unazo shirikishwa hazina ubora wa kimataifa.. Unabisha Angalia MTV Africa, trace au hata mapokeo YouTube..!
Aje allykiba pale ulitulia Sana Mzee..but punguza collabo na Wasanii wa ndani. Nyimbo nying unazo shirikishwa hazina ubora wa kimataifa.. Unabisha Angalia MTV Africa, trace au hata mapokeo YouTube..!