Naomba maoni yenu nifanyaje, window inakataa Kuinstall kila ikifika asilimia 70.
Je, nifanyaje hapo?
Chief-Mkwawa
Je, nifanyaje hapo?
Chief-Mkwawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na install ,ikifika 70 inarudi upya kwenye kuchagua upgrade au custominasemaje ikikataa?
nitumie ipi sasa ,maana mara ya kwanza nimetumia power isoJaribu kutumia installer nyingine ya windows, huenda hiyo ina shida.
anamaanisha windows nyengine incase hio ime corrupt,nitumie ipi sasa ,maana mara ya kwanza nimetumia power iso
okay nashukuru mkuuanamaanisha windows nyengine incase hio ime corrupt,
nitumie ipi sasa ,maana mara ya kwanza nimetumia power iso
Ukitumia windows nyingine ikikataa, jaribu kubadilisha Hard disk.nitumie ipi sasa ,maana mara ya kwanza nimetumia power iso
Kabla hajafika mbali aangalie kama Flash anayotumia ina matatizo. Mi' kuna kipindi nilijaribu ku"boot" windows zaidi ya mara tatu nikitumia softwares tofauti (Anyburn, Power Iso na Rufus) na mara zote hizo ilikuwa inashindikana kwa windows kuwa detected yaani nikifika sehemu ya kuchagua disk ya ku"install-lia" windows napata ujumbe kwamba hamna windows/files zime"miss".Ukitumia windows nyingine ikikataa, jaribu kubadilisha Hard disk.
Search device manager then update display driversahsante wakuu nimesolve tatizo tayari ahsanteni kwa ushirikiano na mawazo yenu tayari nimeweka window 10 kwa kutumia setup nyingine, lakini sasa tatizo la hii window sio sehemu ya kupunguza brightness , nifanyaje niweze kupunguza brightness naomba mnisaidie na hili wakuu.
au kama nitaweza kupata driver booster au driver pack ambayo itakuwa ni free itasaidia sana ,maana nimedownload za mtandaoni naona zinakataa ku-update inahita kulipia
hiyo nimejaribu imekataa mkuuSearch device manager then update display drivers
Download graphics driver kwenye official site ya pc yako,hiyo nimejaribu imekataa mkuu
Last week pc yangu ilikuwa na tatizo kama hilo nilibadili Hard disk tu kitu piruuuu!Ukitumia windows nyingine ikikataa, jaribu kubadilisha Hard disk