Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
😄😄Eti hii baluaHii balua ni homa ya vipindi, kuna siku anakufurahisha, kuna siku anakuwa BARUA ya DAZ NUNDAZ anakuhuzunisha tu..
Ili awe mchezaji bora ama tegemeo, lazima kiwango chake kiwe bora kwenye game kubwa na kisiwe cha kukata kata.
Mrs.Simba ni ..... wa Yanga
motsepe umeuliza hapomatch yenyewe ni lini kwani