Uloi nga Machi
Member
- Jan 4, 2012
- 61
- 23
Ukitazama kamuzi ya Kiswahili Sanifu, kwa kweli uwingi wa neno CHERAHANI ni MAREHANI na siyo VYERAHANI. Mpo hapo Waungwana! Pia kamusi hiyo ya Kiswahili Sanifu ya TUKI 1981, inafafanua kuwa Rambirambi pamoja na matumizi yake yanayofahamika na wengi, hutumika pia kuelezea salamu za heri apewazo mtu baada ya kufikwa na jambo jema au la furaha kama kufaulu mtihani, kushinda bahati nasibu, kuteuliwa kushika nafasi ya juu ya uongozi n.k. Inaeleweka Waungwana? Kiswahili ni bahari yenye maji male. Tuongelee na kuzamia kwa kuzitambua mantiki na balagha zake.