WISE Account imekuja kama mbadala baada ya PAYPAL kufungiwa hapa Tanzania

WISE Account imekuja kama mbadala baada ya PAYPAL kufungiwa hapa Tanzania

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Baada ya PayPal kufungiwa kutumika Tanzania kumekuwa na changamoto kubwa ya kupokea pesa za kimataifa kwa sababu wengi wetu tumekuwa tukizoea kupokea pesa kwa PayPal.

Lakini kuna Online money transfer moja nayo inafanya kazi vizuri tu. Hii inaitwa WISE, hii platform inaruhusu kutuma na kupokea pesa kwa urahisi sana na imezidi kuwa bora kutokana na uchache wa makato ukilinganisha na platforms nyingine kama Payoneer na World Remit. Kama unataka kupokea pesa au kutuma pesa popote duniani, hii platform ni nzuri zaidi. Ni kama mbadala wa PayPal baada ya kufungwa hapa Tanzania.

Ebu ipitie kisha nipe majibu link hiyo hapo 👉🏽 https://wise.com/invite/ahpc/anordk
 
Baada ya PayPal kufungiwa kutumika Tanzania kumekuwa na changamoto kubwa ya kupokea pesa za kimataifa kwa sababu wengi wetu tumekuwa tukizoea kupokea pesa kwa PayPal.

Lakini kuna Online money transfer moja nayo inafanya kazi vizuri tu. Hii inaitwa WISE, hii platform inaruhusu kutuma na kupokea pesa kwa urahisi sana na imezidi kuwa bora kutokana na uchache wa makato ukilinganisha na platforms nyingine kama Payoneer na World Remit. Kama unataka kupokea pesa au kutuma pesa popote duniani, hii platform ni nzuri zaidi. Ni kama mbadala wa PayPal baada ya kufungwa hapa Tanzania.

Ebu ipitie kisha nipe majibu link hiyo hapo 👉🏽 https://wise.com/invite/ahpc/anordk
Mbona nimejaribu kujiunga lakini hakuna huduma ya kupokea pesa kupitia iyo wise
 
Back
Top Bottom