Within a fraction of a minute everybody is desparate to live in Tanzania

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Wananchi wa kawaida wanalalama kupanda bei ya vyakula. Bashe anasema hatafunga mipaka hata kama kilo ya unga itafika buku tano.

Kila mtumishi wa umma anawaza kupiga dili ili ajilipe.

Gharama na ughali wa maisha unazidi kupaa mithiri ya mwewe anavyokwapua vifaranga.

Mkuu wa nchi yupo busy na masuala mengine tu huku akiwa kimya kana kwamba wananchi hawaumii.

Country of desperation
 
This is the government of 'beating it a lot' ama serikali ya kuupiga mwingi.

Na bado.
 
nchi inaelekea Sri Lanka, natania tu!

mbona hali imekuwa ngumu sana mtaani? hivi serikali haina cha kufanya kupunguza makali?
kwanini wasianzishe miradi michache kuchochea uchumi na kuongeza mzunguko wa pesa mtaani ambao umekata ghafla baada ya serikali mpya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…