je wajua soko kubwa la bidhaa zao lipo marekani lakn je wajua china soko kubwa la bidhaa zake lipo marekani maana yake linapofka swala la kiuchumi china yuko tyr kumpoteza urusi na akabaki na marekani unadhan hauzi kwngne kwa mashoga zake akna north korea na urusi anauza bt hawana hela huko pesa iko marekani hao ulaya watazalisha bidhaa je wataenda muuzia nani sasa au watauziana wao kwa wao je itawezekana tambua china ina watu wengi wanasoma bilion 4 na marekan ana watu mamilion tu bt bdo china huko huko kwake wachina hawawez nunua bidhaa za kwao kufidia gap la marekani pamoja na uwingi wao. Kama hautanielewa hapa bs kwaheri.