Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
kwanini wasiweze? wale wana kila kitu, wanaweza kutengeneza chochote mbacho USA anatengneza. Ni industrialized countries. Highly industrialized and developed...anapata nini cha zaidi kutoka USA? Wakitengeneza Europe Federation Army wanaweza kujitegemea hata kiulinzi...Nilikuwa namsikiliza new german chancellor akizungumza baada ya kuchaguliwa alisema
It's high time european nations should get indepence from us
Najiuliza je wataweza
Hawawezi ndio maana wanalialia kuhusu Ukraine.kwanini wasiweze? wale wana kila kitu, wanaweza kutengeneza chochote mbacho USA anatengneza. Ni industrialized countries. Highly industrialized and developed...anapata nini cha zaidi kutoka USA? Wakitengeneza Europe Federation Army wanaweza kujitegemea hata kiulinzi...
je wajua soko kubwa la bidhaa zao lipo marekani lakn je wajua china soko kubwa la bidhaa zake lipo marekani maana yake linapofka swala la kiuchumi china yuko tyr kumpoteza urusi na akabaki na marekani unadhan hauzi kwngne kwa mashoga zake akna north korea na urusi anauza bt hawana hela huko pesa iko marekani hao ulaya watazalisha bidhaa je wataenda muuzia nani sasa au watauziana wao kwa wao je itawezekana tambua china ina watu wengi wanasoma bilion 4 na marekan ana watu mamilion tu bt bdo china huko huko kwake wachina hawawez nunua bidhaa za kwao kufidia gap la marekani pamoja na uwingi wao. Kama hautanielewa hapa bs kwaheri.kwanini wasiweze? wale wana kila kitu, wanaweza kutengeneza chochote mbacho USA anatengneza. Ni industrialized countries. Highly industrialized and developed...anapata nini cha zaidi kutoka USA? Wakitengeneza Europe Federation Army wanaweza kujitegemea hata kiulinzi...
Ujinga ujingaje wajua soko kubwa la bidhaa zao lipo marekani lakn je wajua china soko kubwa la bidhaa zake lipo marekani maana yake linapofka swala la kiuchumi china yuko tyr kumpoteza urusi na akabaki na marekani unadhan hauzi kwngne kwa mashoga zake akna north korea na urusi anauza bt hawana hela huko pesa iko marekani hao ulaya watazalisha bidhaa je wataenda muuzia nani sasa au watauziana wao kwa wao je itawezekana tambua china ina watu wengi wanasoma bilion 4 na marekan ana watu mamilion tu bt bdo china huko huko kwake wachina hawawez nunua bidhaa za kwao kufidia gap la marekani pamoja na uwingi wao. Kama hautanielewa hapa bs kwaheri.
Kiingereza kibovu mno. Ungeandika kiswahiliNilikuwa namsikiliza new German chancellor akizungumza baada ya kuchaguliwa alisema "It's high time european nations should get indepence from us"
Najiuliza. Je, wataweza?
aaahaahaah npe maarifa na ufahamu ulionao sasa maana nlichoandka hapo ni fact tu hakuna cha kuegemea upande wowote huo ndo uhalisia ndo maana umekosa hoja za kupnga nlichoandka zaid ya kuandka ujinga ujinga unandka kama dada poa wa buza huko uswahilini.Ujinga ujinga
Hakuna facts zaidi ya ujinga.aaahaahaah npe maarifa na ufahamu ulionao sasa maana nlichoandka hapo ni fact tu hakuna cha kuegemea upande wowote huo ndo uhalisia ndo maana umekosa hoja za kupnga nlichoandka zaid ya kuandka ujinga ujinga unandka kama dada poa wa buza huko uswahilini.
Acha ushamba Europe ilikuwepo kabla ya USNilikuwa namsikiliza new German chancellor akizungumza baada ya kuchaguliwa alisema "It's high time european nations should get indepence from us"
Najiuliza. Je, wataweza?