Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Tulizanaa league bado sanaa tujipange tu na Mwl abadilishe mbinu tu kuwe na options nyingiWadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Mwanachama hai Klabu ya Yanga
Bora umemwambia maana huu Uzi unanuka kinywaPiga hata mswaki kwanza basii
Na badoMilio imeanza kusikika.
Yaani asubuhi asubuhi hata hajatoka kitandani ashawahi hukuBora umemwambia maana huu Uzi unanuka kinywa
Wasiojua soka, timu ikifungwa lawama hutupiwa kocha badala ya wachezaji.Tulizanaa league bado sanaa tujipange tu na Mwl abadilishe mbinu tu kuwe na options nyingi