MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Huku Tegeta kuna wakali wa kusakata kabumbu kama Msekelo fc, Kindovu fc, WauzaNyama FC, Nafaka sc, Sokoni B SC n.k ambao wote ni mafundi wa kutandaza soka safi.
Hivyo tumeona tuwaalike wenzetu Simba sc waje tushiriki katika michuano hii ili kukiza soka letu kwa pamoja na kuongeza idadi ya vikombe.
Mwisho wa kupokea barua ya washiriki ni tarehe 1/5/2024.
Hivyo tumeona tuwaalike wenzetu Simba sc waje tushiriki katika michuano hii ili kukiza soka letu kwa pamoja na kuongeza idadi ya vikombe.
Mwisho wa kupokea barua ya washiriki ni tarehe 1/5/2024.