Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Ni ushauri tu kwa mwenye mamlaka kuwa hawa wenzetu hata uwafanyie jambo gani jema hawanaga shukrani
Kwamba wao kila siku ni kulalamika , kudai na kudai, kuzusha na kuzusha yaani hawanaga jema!
Yaani ni watu wasiofaa hata kidogo!
Hivyo Mwenye Mamlaka dawa Yao ni moja tu kudeal nao kama vile mtangulizi wako!
Ni ushauri tu Ndugu zangu kwa mujibu wahaki yangu Kikatiba
Mwenye Mamlaka ndiye Mwenye Mamlaka na atasalia kuwa Mwenye Mamlaka
Ni ushauri tu kwa mwenye mamlaka kuwa hawa wenzetu hata uwafanyie jambo gani jema hawanaga shukrani
Kwamba wao kila siku ni kulalamika , kudai na kudai, kuzusha na kuzusha yaani hawanaga jema!
Yaani ni watu wasiofaa hata kidogo!
Hivyo Mwenye Mamlaka dawa Yao ni moja tu kudeal nao kama vile mtangulizi wako!
Ni ushauri tu Ndugu zangu kwa mujibu wahaki yangu Kikatiba
Mwenye Mamlaka ndiye Mwenye Mamlaka na atasalia kuwa Mwenye Mamlaka