Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Wajumbe,
Nianze kwa kukumbushia andiko langu juu ya hatari iliyopo kwenye muundo wa muungano wetu hususan katika zama hizi za vyama vingi.
www.jamiiforums.com
Kwakua kupitia uchaguzi wa 2020 chama cha mapinduzi kimeshika hatamu bara na visiwani, hii ni fursa adhimu ya kuyatibu magonjwa yote yanayo usumbua muungano wetu.
Hivyo kwa moyo wa kizalendo kabisa, nitoe wito kwa mwenyekiti wetu na rais wa JMT, mheshimiwa sana Dr. Magufuli J.J.P, anzisha mchakato kutokea ndani ya chama, ili tuweze kufanya mabadiliko ya katiba yetu na kuleta muungano wa serikali moja.
Faida za serikali moja ni nyingi mno, kuanzia na kuimarisha umoja wa kitaifa, kupunguza gharama za uendeshaji wa serikali, kuimarisha ulinzi na usalama wa taifa n.k.
Uchaguzi wa 2025 uwe ni wa kuchagua serikali moja ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Pia ikikupendeza, 2025 tuletee mheshimiwa Mwinyi awe Rais wa kwanza kufungua kurasa za JMT mpya.
Nianze kwa kukumbushia andiko langu juu ya hatari iliyopo kwenye muundo wa muungano wetu hususan katika zama hizi za vyama vingi.
Je, Zanzibar inajiandaa kujitwalia uhuru kamili?
Tangu kuasisiwa kwake mwaka 1964, mauungano wa Tanganyika na Zanzibar umeonekana wazi kugubikwa na ujanja ujanja mwingi. Ni jambo lililo wazi kabisa kuwa waasisi wa muungano walikua na malengo yasiyofanana, mwalimu Nyerere alidhamiria kuwepo na muungano kamili chini ya serikali moja huku mzee...
Kwakua kupitia uchaguzi wa 2020 chama cha mapinduzi kimeshika hatamu bara na visiwani, hii ni fursa adhimu ya kuyatibu magonjwa yote yanayo usumbua muungano wetu.
Hivyo kwa moyo wa kizalendo kabisa, nitoe wito kwa mwenyekiti wetu na rais wa JMT, mheshimiwa sana Dr. Magufuli J.J.P, anzisha mchakato kutokea ndani ya chama, ili tuweze kufanya mabadiliko ya katiba yetu na kuleta muungano wa serikali moja.
Faida za serikali moja ni nyingi mno, kuanzia na kuimarisha umoja wa kitaifa, kupunguza gharama za uendeshaji wa serikali, kuimarisha ulinzi na usalama wa taifa n.k.
Uchaguzi wa 2025 uwe ni wa kuchagua serikali moja ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Pia ikikupendeza, 2025 tuletee mheshimiwa Mwinyi awe Rais wa kwanza kufungua kurasa za JMT mpya.