Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 885
- Thread starter
-
- #21
Yaani kuna mambo yanachekesha kama sio kukera.Inawezekana huko nyuma kuna mtu alikuja na proposal kama hii.Lakini hiyo haiondoi umuhimu wa kukumbushana especially kutokana na ukweli kwamba so far hakuna hatua zilizokwishachuliwa.
Utasikia watu wanasisitiza kilimo,leta majembe waende shambani,wanaanza excuse ...nilianza proposal yangu kwa kubainisha wazi kwamba ninachoandika sio sign ya ku-resign ktk haya mapambano bali kukumbushana wajibu wetu.Kinachofanyika JF ni cha muhimu na ni lazima kiendelee:to unearth the evils in our society.However,we could well move beyond that.
Sio suala la ndivyo tulivyo au sivyo tulivyo,kwa vile misaada inatolewa sehemu mbalimbali duniani (in fact hata US ilipewa misaada wakati wa Katrina),na misaada ni silaha,that's how ECONOMIC SANCTIONS works kwa walio wagumu kutafsiri mambo.Pengine JUST WAR THEORY inaweza kutoa mwanga wa effectiveness au immorality ya actions zinazoweza kuwa na madhara limited but faida za kutosha in the long run.
Utasikia watu wanasisitiza kilimo,leta majembe waende shambani,wanaanza excuse ...nilianza proposal yangu kwa kubainisha wazi kwamba ninachoandika sio sign ya ku-resign ktk haya mapambano bali kukumbushana wajibu wetu.Kinachofanyika JF ni cha muhimu na ni lazima kiendelee:to unearth the evils in our society.However,we could well move beyond that.
Sio suala la ndivyo tulivyo au sivyo tulivyo,kwa vile misaada inatolewa sehemu mbalimbali duniani (in fact hata US ilipewa misaada wakati wa Katrina),na misaada ni silaha,that's how ECONOMIC SANCTIONS works kwa walio wagumu kutafsiri mambo.Pengine JUST WAR THEORY inaweza kutoa mwanga wa effectiveness au immorality ya actions zinazoweza kuwa na madhara limited but faida za kutosha in the long run.