Wito Maalum wa kufanya Maombi na Dua kwa ajili ya Rais Samia

Wito Maalum wa kufanya Maombi na Dua kwa ajili ya Rais Samia

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
WITO MAALUMU KWA WATANZANIA WOTE KUFANYA MAOMBI NA DUA KWA AJILI YA RAIS WETU MPENDWA SAMIA SULUHU HASSANI

√Ndugu zangu Watanzania

Nawaomba kuanzia leo tutenge muda wetu mahsusi ili kumuombea Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani

√Ndugu Watanzania

Mama yetu ni Mcha Mungu, mwenye huruma na upendo, anayeongoza kwa haki na aliyejitolea kuwatumikia Watanzania kwa moyo wake wote

√Ndugu Watanzania

Mama yetu anayo majukumu mazito hivyo bila kujali itikadi zetu tufanye maombi maalumu kwa Mungu ili Amzidishie Afya Njema, Nguvu, Uvumilivu & Ujasiri, Hekima ili azidi kutenda yale yaliyo mema kwa nchi yetu

√Ndugu Watanzania

Kazi ya kuongoza nchi ni ngumu na inahitaji maombi & Dua Maalumu hivyo nawaomba mtenge muda wa siku 3 kuanzia leo Ijumaa ili kumuombea Kiongozi wetu mpendwa



√Ndugu Watanzania

Mungu wetu awabariki wote
Mungu wetu ambariki Rais wetu

KaziIendelee
 
Enzi za kusifu na kuabdu na kujikomaba zimerudi kwa kasi ya ajabu
 
Kila la kheri!.. japo umeandika takataka
Bora tumuombee mzee wa bapa kidogo itapendeza

2528007_20200919_173148.jpg
 
Yeye ndo chaguo la Mungu, anatakiwa atufanyie dua sisi watawaliwa wake

Kwani yeye kakuambia kazi ya kuongoza nchi ni ngumu? au unamlisha maneno mkuuu
 
Ajiombee yeye,msitusumbue,Yule mwingine watu walikuwa wanamwombea kumbe ndio anapata nguvu za kuteka watu
 
Tuna mambo mengi ya kumuomba Mungu hebu tuache kwanza kila mtu abebe Zigo lake usitupe kazi sisi.
 
Nini tena kimetokea? Muwe mnasema ili tujue ya kumwelezea Mwenyezi
 
Back
Top Bottom