Wito wa dereva wamkuu wa... kwa wafuatao

Mwanyasi

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2010
Posts
7,955
Reaction score
7,109
Ndgu zangu;
Kuna memba wamekuwa wanapatikana kwa manati sana hapa jukwaani;
naamini kuna sababu mbalimbali> sawa; kujeni basi mtupe taarifa;
Baadhi yao ni; PakaJimmy Lily Flower Blaki Womani Smile Filipo YNNAH (labda honeymoon)
marejesho (huyu sana tu) Preta werawera (??????)
Maelekezo ya Dereva wa ...... nikuwa niwaombe memba hao warudi jukwaani kama kawaida,
aidha ameagiza salaam kwa; pamoja na hao waliotajwa ziwafikie Arushaone, Arabela watu8
na salaam spesheli kwa Madame B! NB: Chips maharage itawahusu sana!!!
dada King'asti wakija si utawawekea muvi ya Angle Charlies!!!!!!!


Wenu katika JF
Mwanyasi;
 
Kuna multiple IDs mkuu...
...hata sielewi kwa nini watu hupenda kutumia IDs zaidi ya moja, naomba msaada kulijua hilo..
 
Kuna multiple IDs mkuu...
...hata sielewi kwa nini watu hupenda kutumia IDs zaidi ya moja, naomba msaada kulijua hilo..

siku moja utajua.......he he....mkuu Mwanyasi.........naelekea kwako siku za karibuni........
 
Last edited by a moderator:
Hahaha mkuu ukitaja tu dereva wa mkuu wa..... huwa nakumbuka hiki kikatuni.

😛eace:😛eace:weraaaaaaaaaaaaaaaa
 
imejensi gani hizo....?

Kuna watu wana ID zinazoshinda jukwaa la PM tu...

Kuna wengine wana ID zinazoshinda siasani tu au chitchat tu...

Sasa imejensi ID ni zile zinazotumika kufanya ubazazi kwa nyakati maalumu...kwa hili muulize Baba V

Btw hivi unajua huyu watu8 kwa ID hii hii ya watu8 inatumika na watu wangapi?
 
Last edited by a moderator:
Kuna multiple IDs mkuu...
...hata sielewi kwa nini watu hupenda kutumia IDs zaidi ya moja, naomba msaada kulijua hilo..
Mkuu funguka vema; kama naisoma point yako vile!!!!!
 

Hiyo ni ngumu kubaini........laiti angejua kuna kina Preta wangapi humu.......
 
Last edited by a moderator:

Upo sahihi id za pm hukutani nazo jukwaani hata siku moja.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Dark City embu ongoza hoja za wajumbe hapa
 
Last edited by a moderator:
Ukweli ni kuwa WatsApp imepoteza members wengi sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…