harrysonful
Member
- Oct 27, 2010
- 34
- 0
Yule mnajimu aliyetishia nchi nzima kwamba uchaguzi utaahirishwa na kwamba kuna mgombea atakufa anahitaji kukamatwa mara moja kwa tuhuma za uchochezi na kutishia watu.
Alichokifanya ni mauaji ya maneno au kisaikolojia na hivyo watu kama hawa hawapasi kuachiwa hivi hivi maana ni hatari kwa amani, haki na ustawi wa taifa.
Ila ni muhimu ili liwe fundisho, maana anaweza kusema hata aliyeingia hatakaa siku mbili etc,
au ni uswahiba na huyo mkuu ambaye anamaliza muda wake?Jamani kuna watu wengi tuu wako mahakamani na wengine jela kwa kutishia kuua kwa maneno huyu anapaswa kuwa jela
Hivi si kuna mgombea urais anayeitwa Mziray? Labda alichanganya.
Utabiri wake ni wa uongo, hivyo JK atashindwa
Unamwongelea yule mnajimu wa thithiemu? Me nadhani anyongwe tu!Yule mnajimu aliyetishia nchi nzima kwamba uchaguzi utaahirishwa na kwamba kuna mgombea atakufa anahitaji kukamatwa mara moja kwa tuhuma za uchochezi na kutishia watu.
Alichokifanya ni mauaji ya maneno au kisaikolojia na hivyo watu kama hawa hawapasi kuachiwa hivi hivi maana ni hatari kwa amani, haki na ustawi wa taifa.
sure, sijui kwanini mpaka sasa bado yupo mitaani. Hivi ameenda kupiga kura?Jamani kuna watu wengi tuu wako mahakamani na wengine jela kwa kutishia kuua kwa maneno huyu anapaswa kuwa jela
Sijui watajificha wapi na JK wake. Hapa Kikwete anapaswa aelewe kuwa huyo mnajimu wake huwa anamdanganya na ndo maana wananchi wamemchoka, hawamtaki.